Hii itakuwaje baadaye?

Decision

Member
May 6, 2020
36
36
Nina mahusiano na mwanaume ambaye tupo shule moja, anaonesha kunipenda sana ila mimi nipo naye kwaajili ya kupunguza stress zangu tu ila nawaza siku akiomba mzigo sijui itskuwaje

Shule zikifungiliwa kama stress zitakuwa zimeisha nitamwacha ila saizi tunatumia masaa mengi kuongea na simu

Shida ni kwamba mimi sina hisia nae za kimapenzi kutokana na sababu mbalimbali ila ana show sana love kwangu.
 
Jitahidi kufatilia masomo online unawahi Sana utakuja kuhadithia 🤔
 
Nina mahusiano na mwanaume ambaye tupo shule moja, anaonesha kunipenda sana ila mimi nipo naye kwaajili ya kupunguza stress zangu tu ila nawaza siku akiomba mzigo sijui itskuwaje

Shule zikifungiliwa kama stress zitakuwa zimeisha nitamwacha ila saizi tunatumia masaa mengi kuongea na simu

Shida ni kwamba mimi sina hisia nae za kimapenzi kutokana na sababu mbalimbali ila ana show sana love kwangu.
Mpe tuu mwenzio anaogopa kukuomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mahusiano na mwanaume ambaye tupo shule moja, anaonesha kunipenda sana ila mimi nipo naye kwaajili ya kupunguza stress zangu tu ila nawaza siku akiomba mzigo sijui itskuwaje

Shule zikifungiliwa kama stress zitakuwa zimeisha nitamwacha ila saizi tunatumia masaa mengi kuongea na simu

Shida ni kwamba mimi sina hisia nae za kimapenzi kutokana na sababu mbalimbali ila ana show sana love kwangu.
Huu mwaka gani....? 2020, kama korona haitatuchukua 2024 utaweka tangazo la kutafuta mume humu
 
Back
Top Bottom