acha tuzae tu, ndizo hasaraMatata: Wakati Wanakubeba Tangu Tabora Walikwambia Kosa lako no Nini
Shahidi: Niliwahoji tangu Natoka Tabora Wakasema Utaenda Kujua Mahakamani
Matata: Sasa Mlipofika Mahakama Ya Kisutu Ikawaje
Shahidi: Tarehe 25 September 2020 baada ya Kufika Kisutu Nilikutana na Hakimu Na Nikasomewa Mashtaka yanayohusiana na Vitendo Vya Kigaidi
Shahidi: Anaitwa Mheshimiwa Simba
Matata: hiyo kesi ilikuwa kesi namba Ngapi na Mwaka gani
Shahidi: ilikuwa kesi namba 63 ya Mwaka 2020, ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi
Matata: Mlikuwa wangapi