Hii itakuwa ndiyo kesi aliyoisema Rais Samia alipohojiwa na BBC na watu wakadhani anademka- Thubutu

Matata: Wakati Wanakubeba Tangu Tabora Walikwambia Kosa lako no Nini

Shahidi: Niliwahoji tangu Natoka Tabora Wakasema Utaenda Kujua Mahakamani

Matata: Sasa Mlipofika Mahakama Ya Kisutu Ikawaje

Shahidi: Tarehe 25 September 2020 baada ya Kufika Kisutu Nilikutana na Hakimu Na Nikasomewa Mashtaka yanayohusiana na Vitendo Vya Kigaidi

Shahidi: Anaitwa Mheshimiwa Simba

Matata: hiyo kesi ilikuwa kesi namba Ngapi na Mwaka gani

Shahidi: ilikuwa kesi namba 63 ya Mwaka 2020, ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi

Matata: Mlikuwa wangapi

Alikuwa anazungumzia kesi hii hii iliyoko mahakamani, ila umeona huo utoto unaondelea sasa hivi huko mahakamani kwa upande wa jamuhuri ni aibu tupu, ndio unajifanya kutupoteza maboya. Katafute wazee wenzie ndio uwaingize chaka.
 
Upelelezi unatakiwa ufanyike wa kutosha kabla ya kukamata mtu,kwa hawa polisi huo uwezo awana,wanatumia torture kufunga majalada yao….maana mtu akisha teswa anaamua akili tu lkn upelelezi ule wa kitaalamu hakuna kabisa….

Ni uonevu tu na kuharibia future za watu!

Hii ni changamoto kubwa sana kwa jeshi letu la polisi kutokuwa na vitendea kazi vyenye ubora pamoja na weledi ktk kufanya upelelezi na uchunguzi wa kisayansi,,, na ni kutokana na Serikali kutokuona haja ya kuwekeza huko
 
Hivi mtu kama Goodluck, Jumanne, Mahita na Kingai wanajisikiaje watu wanavyoelezea mateso waliyowapa bila sababu?
Ila Mungu hachoki na halali.
Hivi hao watesaji na watekaji na majina yao yanajulikana wanaishi mtaani na watu wengine? wabongo ni malazy au wapole sana nafikiri
 
Nenda kaulize wafungwa na mahabusu wa kesi za ugaidi gereza la Guantánamo ujue madhira wanayokutana nayo mule

Usalama wa nchi unalindwa kwa Gharama yoyote ile kwasababu ndio kipaumbele kikuu ktk nchi yoyote ile
Sasa we bwege unalinganisha ugaidi na upuuzi wa kina kingai gaidi unajua mziki wake?kingai,Jumanne na mahita wanauwezo wa kumkamata gaidi!!?
 
Upelelezi unatakiwa ufanyike wa kutosha kabla ya kukamata mtu,kwa hawa polisi huo uwezo awana,wanatumia torture kufunga majalada yao….maana mtu akisha teswa anaamua akili tu lkn upelelezi ule wa kitaalamu hakuna kabisa….

Ni uonevu tu na kuharibia future za watu!
Nguvu nyingi akili kisoda.
 
Nenda kaulize wafungwa na mahabusu wa kesi za ugaidi gereza la Guantánamo ujue madhira wanayokutana nayo mule

Usalama wa nchi unalindwa kwa Gharama yoyote ile kwasababu ndio kipaumbele kikuu ktk nchi yoyote ile
Usalama wa nchi? Ni wapi walihatarisha usalama?
Ndio sasa mthibitishe usalama ulivyo hatarishwa!
Mbowe akiajiri walinzi,usalama umehatarishwa?
Kwani hakuna namna nyingine ya kupeleleza zaidi ya utesaji? na mwisho mnagundua Hana hatia mnafuta mashitaka unamuachia maumivu bila fidia yoyote! Inaingia akilini hiyo?
Ok wanatufanya tupate mwanga wasiojulikana walikuwa Akina Nani na kwa Nini taarifa za wahanga waliopotea hazijulikani Hadi leo walikuwa wanapitiliziwa rumande bila kuandikishwa popote,akifa wanamuweka kwenye kiloba anatupwa baharini,ushahidi kwishnei mnawezaje kuwafanya raia wasiwafikilie hivi?
Swali polisi wanaruhusiwa kuvunja sheria?
 
Matata: Wakati Wanakubeba Tangu Tabora Walikwambia Kosa lako no Nini

Shahidi: Niliwahoji tangu Natoka Tabora Wakasema Utaenda Kujua Mahakamani

Matata: Sasa Mlipofika Mahakama Ya Kisutu Ikawaje

Shahidi: Tarehe 25 September 2020 baada ya Kufika Kisutu Nilikutana na Hakimu Na Nikasomewa Mashtaka yanayohusiana na Vitendo Vya Kigaidi

Shahidi: Anaitwa Mheshimiwa Simba

Matata: hiyo kesi ilikuwa kesi namba Ngapi na Mwaka gani

Shahidi: ilikuwa kesi namba 63 ya Mwaka 2020, ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi

Matata: Mlikuwa wangapi
Yeye Samia alisema kuwa watuhumiwa walishakumiwa au yale mateso ya genge la Kingai ndiyo hukumu yenyewe?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Matata: Wakati Wanakubeba Tangu Tabora Walikwambia Kosa lako no Nini

Shahidi: Niliwahoji tangu Natoka Tabora Wakasema Utaenda Kujua Mahakamani

Matata: Sasa Mlipofika Mahakama Ya Kisutu Ikawaje

Shahidi: Tarehe 25 September 2020 baada ya Kufika Kisutu Nilikutana na Hakimu Na Nikasomewa Mashtaka yanayohusiana na Vitendo Vya Kigaidi

Shahidi: Anaitwa Mheshimiwa Simba

Matata: hiyo kesi ilikuwa kesi namba Ngapi na Mwaka gani

Shahidi: ilikuwa kesi namba 63 ya Mwaka 2020, ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi

Matata: Mlikuwa wangapi
acha tuzae tu, ndizo hasara
 
Back
Top Bottom