Habari gani wanajf? Me nina tatizo na hawa wa2 wa design hii! 2najua usiku ni mda wa kupumzika, mipango ya future kwa wahusika, kupeana uroda whether wa halali au usio wa halali. Ktk hili la uroda unakuta wahusika wanafanya mapenzi huku wakipiga kelele tena mapema tu saa2 pengine hata watoto wa majirani hawajalala wakisikia @ kitu, wazazi wao nao wakiwa hawana cha kusema wakibaki kutizamana tu. Hii imekaaje kwenu nyie mnaoface tatizo hili km mie? Nawasilisha.