ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,243
- 21,964
Niom city ni niniWadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230.
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle United Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahihi wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori