KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
Hiyo huduma nyingine itatumika hadi kwenye cm?
Kama una simu inabidi ufanye tethering kwa computer yako kutokea kwenye simu then unapiga mzigo kama kawa.
Ila kwa kutumia simu kama simu inakuwa haiwezekani kiongozi.