Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Sasa kama nchi yenu haijaongeza mshahara kwa miaka 7 mnataka nani aongeze ?Hiyo ni zaidi ya hatari View attachment 1720387
Sasa kama nchi yenu haijaongeza mshahara kwa miaka 7 mnataka nani aongeze ?Hiyo ni zaidi ya hatari View attachment 1720387
Ukweli mtupu ! yanayofanywa na mfadhili wa ccm huko Iringa yanatisha !Sababu ni moja tu!! Chama dume kikitaka fedha kwa ajiri ya matumizi yake, kusiwe na visingizio!! Hasa wakati wa kampeini za uchaguzi. Ungejua vimemo vinavyopita kwa wamiliki wa viwanda na makampuni utastaajabu!!
40 in thirty days. Kweli ataoa mke huyu?Nimeumia...nimeumia mno! Dah...hiv kumbe watu wanamaisja.magumu hivyo? 40 ya nn sasa! Ohh no...so sad
Serikali inamlipa mbunge milioni 11 kwa mwezi.Serikali yenyewe inalipaje watumishi wake kwanza.....!
I cant imagine dah40 in thirty days. Kweli ataoa mke huyu?
Hivi Kuna siku anaeasimulia wenzie kwamba ali enjoy, yaani Kama kwenda kunywa soda na girlfriend sehemu au kula ice cream au hata kutoka kwenda muziki na washkaki?
Milioni 2 walimu wa kufundisha nini?Serikali inamlipa mbunge milioni 11 kwa mwezi.
Mkuu wa wilaya milioni nyingi na Viieite juu.
Waziri milioni nyingi na allowance kibao ndio maana wanajitoa ufahamu.
Wakurugenzi milioni nyingi na Viieite.
Walimu milioni mbili.
Madereva laki sita na posho kibao.
Ki ufupi hakuna mfanyakazi wa serikali anayepata chini ya laki tano
HR wengi ni wanafiki wala musiwaraumu hao Wahindi. Mchawi ni mweusi mwenzioWakuu ukoloni bado upo, hawa wahindi sio watu kabisa. Hivi kweli mfanyakazi anafanya kazi masaa 12 halafu unamlipa 3800 sasa hiyo pesa atafanyia nini.
Kwa kweli mtaani hali ni mbaya kama kweli tungekuwa uchumi wa kati hakuna mtanzania angeenda kufanya kazi kwa hao mashetani.
Chakushangaza kampuni yenyewe ni kubwa(sayona) huwezi hata ifikiria, kila siku inapigiwa promo/vinywaji na msanii mkubwa/Yuda
Serikali ya wanyonge iko wapi, hivi imeshindwa kuweka watu wa kumonitor na kuregulate mishahara ya wafanyakazi wasio rasmi. Kama ilivyoweka kwenye kitengo maalum cha kukusanya mapato
Mishahara mizuri mizuri wanalipana wao na ndugu zao lakini ngozi nyeusi unakula 3800 na ukikaa hata siku moja utoro/ukiugua wanakukata mwisho wa mwezi.
Unanishauri nini mimi ninayefanya kazi kwa mhindi?Kwakweli ni heri nikalime miti kijijini kuliko kutumikishwa na Wahindi na Wachina.
Idiots.
Ni heri ungetaja jina la kiwanda ili kama kuna ufuatiliaji iwe simple.
Hii mwishonenda kile baada ya Murzah One, cha Plastiki, pay ni sh. 3000 , kwa masaa 12
Wataambiwa walipwe elf 5Kwanini wasigome kufanya kazi hapo uone kama hawataongezewa ujira.
Per hour? Hata mimi ningeenda kupiga kazi3800
Ni per hour or per day. Hebu ulizia vizuri.
Two different environmentKuna bwana mmoja pale kariakoo alikuwa analipwa na mhindi 50,000/= kwa mwezi lakini sikuwahi kumsikia akilalamika....kumbe yule bwana kwa siku alikuwa na uhakika wa kuondoka na 50,000/= mpaka 100,000/= kwa njia anazozijua mwenyewe........hapo ndio nikajifunza jambo kubwa sana kwenye ajira za wahindi na wachina........
Hivi unajua hata kwa malipo hayo kuna watu wengi huko na hamna gape?Hivi viwanda vingekua vinafikisha efu 10 kwa siku vijana wasio na kazi wangepungua sana kitaa ila haya mambo ya 3800 yanafanya watu waone ufala bora wa bet....