[/QUOTE
MH KUMBE KWELI KAJA,?NASIKIA WENGINE WAMEMWONA MBUGANI AKICHEKI WANYAMA
acha ujinga kama huna cha kupost si usome za wengine, hapa sio kijiweni kudanganyana, tunataka michango yenye akili. Lini Obama kaja kwa Babu kupata kikombe?
acha ujinga kama huna cha kupost si usome za wengine, hapa sio kijiweni kudanganyana, tunataka michango yenye akili. Lini Obama kaja kwa Babu kupata kikombe?
Tunajua Obama hajaja Tanzania, of course ni photo editing, hilo nalo swala mazee?Photo shop
bado huyu wa UN naeakanywe tu wala asione aibu
Photo shop
Photoshop, not Photo shop
Yes, huyu Naibu Katibu Mkuu UN ni vizuri aende akapate kikombe. Mama tibaijuka sijui amekwenda tayari manake nae amekaa mkao wa kikombe!