Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Wanajanvi, ninamtaji mdogo wa sh. 600,000 ninaotarajia kuanza nao katika biashara ya mkaa kutoka mbeya kuuleta hapa DAR.
Bei ya kununulia kule ni sh. 13000 kwa gunia ambalo huku nitauza kwa sh 30000 @. Naomba ushauri wenu njia ipi bora na ya ufanisi zaidi kusafilishia ikizingatia gharama za usafilishaj, au mahala pengine ninapoweza kuupata mkaa kwa bei ya chini zaidi.
Nawasilisha
Bei ya kununulia kule ni sh. 13000 kwa gunia ambalo huku nitauza kwa sh 30000 @. Naomba ushauri wenu njia ipi bora na ya ufanisi zaidi kusafilishia ikizingatia gharama za usafilishaj, au mahala pengine ninapoweza kuupata mkaa kwa bei ya chini zaidi.
Nawasilisha