Hii imekaaje wanawake wenzangu? Eti the early you accept polygam is better!

kwako dr.mwaka tupe uzoefu
Kwanza nitake radhi kwa kunipa jina lisilokua langu. Mimi sio dr. mwaka

Turudi kwenye maada
Uzoefu ni kwamba ukiwa vizuri kabisa kiuchumi ukamtosheleza mkeo kwa kila anachotakiwa kupata wivu unaweza kuwepo mwanzoni ila atakuelewa na kuendelea kukuheshimu nawe utampenda zaidi

Sio maisha ya kuungaunga halafu unatamani kuongeza wanawake, utajuta na utakufa siku sio zako
☺☺☺☺☺
 
Back
Top Bottom