mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Mimi binafsi na roho yangu na Wivu wangu nimekataa, Kwanza hata mkataba wangu na yeye hausemi hivyo..... na kuna vitu vingi hatufanya hiyo pesa ya kugawa kwa mwanamke mwingine inatoka wapi😅😅😆😆😆
Wanaume mnavyolalamika wanawake wamekua watata kwenye hili mtaweza kweli??
Mwanamke mwenzangu kakazia kabisa "The early you accept polygamy the better" 😅😅😅😅
Hii kitu inapendwa na wanaume wote au ni kwa baadhi ya wanaume tuu?🤔🤔
Wanaume mnavyolalamika wanawake wamekua watata kwenye hili mtaweza kweli??
Mwanamke mwenzangu kakazia kabisa "The early you accept polygamy the better" 😅😅😅😅
Hii kitu inapendwa na wanaume wote au ni kwa baadhi ya wanaume tuu?🤔🤔