Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wana JF nimeshindwa kuelewa kwamba sherehe kubwa imekuja kufanywa Dar badala ya Igunga.
Pia CCM wana Wabunge 200 plus bado wanazunguka kuandamana juu ya wiz wa Igunga. Can anyone tell me kuna siri gani hapa Mmemsikia Nape akibwabwaja na wajinga wenzake eti Upinzani na kumwaga damu. Jamani hayo mambo yamekaaje? Umemsikia Nchemba anasema Chadema wasingaliweza kupata kura hata 1,000 bila ya kusaidiwa na Tume kweli hao waalimu ni 23,000 hapo Igunga ? Hii imekaaje ?
Pia CCM wana Wabunge 200 plus bado wanazunguka kuandamana juu ya wiz wa Igunga. Can anyone tell me kuna siri gani hapa Mmemsikia Nape akibwabwaja na wajinga wenzake eti Upinzani na kumwaga damu. Jamani hayo mambo yamekaaje? Umemsikia Nchemba anasema Chadema wasingaliweza kupata kura hata 1,000 bila ya kusaidiwa na Tume kweli hao waalimu ni 23,000 hapo Igunga ? Hii imekaaje ?