Hii imekaaje: Tanzania ya viwanda huku Wakuu wa Wilaya wako busy kukabidhi zawadi za Tatu Mzuka!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,840
141,763
Hili jambo huwa linanishangaza kidogo, wakati Rais Maguguli na waziri Jaffo wakihimiza uhamasishaji wa ujenzi wa viwanda Wakuu wa wilaya wako busy kukabidhi zawadi za kamari na kuwatia moyo vijana kuishi maisha ya kubahatisha. Wakuu hii imekaaje.......hasa wale watani zangu wa Ufipa maana nawaona wanashinda sana akina bwashee kwenye hii michezo.
 
Wakuu wa wi
Hili jambo huwa linanishangaza kidogo, wakati Rais Maguguli na waziri Jaffo wakihimiza uhamasishaji wa ujenzi wa viwanda Wakuu wa wilaya wako busy kukabidhi zawadi za kamari na kuwatia moyo vijana kuishi maisha ya kubahatisha. Wakuu hii imekaaje.......hasa wale watani zangu wa Ufipa maana nawaona wanashinda sana akina bwashee kwenye hii michezo.
wakuu wa wilaya na mikoa hawana kazi mkuu so issue yoyote ikitokeza wanakimbilia ili mradi waonekane wako bize!!....ndo maana wanachaguaga mtu yoyote tu kushika hizo nyadhifa!
 
Hiyo michezo ya kubahatisha ni mbinu ya Serikali katika kujipatia "kodi" na kuongeza pato lake. Hebu piga mahesabu, kila mtu anayeshinda anakatwa 20% ya kodi. Sasa hebu jiulize ni wangapi wameshinda kuanzia milioni 10 tu na kuendelea na Serikali imekusanya kiasi gani cha pesa mpaka sasa hivi??

Labda nikupe mfano mdogo tu, hao Tatu Mzuka mpaka sasa wameshatoa zawadi zinazokaribia bilioni 35, sasa ukitoa hapo 20% ya kodi utaona Serikali imechukua bilioni 7. Na hao ni Tatu Mzuka pekee, bado hujawajumuisha Biko, Moja Spesho, michezo ya kubet n.k.
 
Hili jambo huwa linanishangaza kidogo, wakati Rais Maguguli na waziri Jaffo wakihimiza uhamasishaji wa ujenzi wa viwanda Wakuu wa wilaya wako busy kukabidhi zawadi za kamari na kuwatia moyo vijana kuishi maisha ya kubahatisha. Wakuu hii imekaaje.......hasa wale watani zangu wa Ufipa maana nawaona wanashinda sana akina bwashee kwenye hii michezo.
Sasa wew ndo umhoji jiwe,uliahidi tanzania ya viwanda au tanzania ya kamali?? Viwanda viko wapi?? Au tatumzuka ndo viwanda??
 
Hili jambo huwa linanishangaza kidogo, wakati Rais Maguguli na waziri Jaffo wakihimiza uhamasishaji wa ujenzi wa viwanda Wakuu wa wilaya wako busy kukabidhi zawadi za kamari na kuwatia moyo vijana kuishi maisha ya kubahatisha. Wakuu hii imekaaje.......hasa wale watani zangu wa Ufipa maana nawaona wanashinda sana akina bwashee kwenye hii michezo.
Hapo utaskia kua hata Tatu mzuka ni kiwanda
 
Back
Top Bottom