Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Pole na majukumu ya na imani yangu mpo poa naomba kuuliza kuna mtu kanipigia simu na kuniambia namba ninayo tumia ni yake alipoteza simu anataka kurenew so na mimi ndio natumia karibu mwaka na nimesajili kupitia kitamburisho changu cha Nida sasa kisheria ime kaaje hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app