Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Ukitaka kujua ujanja wa padri muulize sista, na utundu wa sista muulize padri.
Hivi kanisa la roman catoric linaruhusu ulevi?maana ni zaid ya mara nne nashuudia masista na mapadre wanakuja na gari la kanisa ofisin kwangu nnako uza vinywaji kwa jumla jumla kununua kreti kadhaa za bia..Hii imekaje? Naombeni kujuzwa
Mimi ni RC na huwa ninajaribu kuishi kwa kadri ya maelekezo ya mwenyezi Mungu. Katika amri kumi alizopewa Musa ili ziwafikie wanadamu, hakuna amri hata moja inayozuia binadam asinywe pombe au asile noah (Kitimoto). Mambo ya kutokunywa yamezungumziwa na watu wengine kwa hisia na mitizamo yao. CheeeeeeeeerzHivi kanisa la roman catoric linaruhusu ulevi?maana ni zaid ya mara nne nashuudia masista na mapadre wanakuja na gari la kanisa ofisin kwangu nnako uza vinywaji kwa jumla jumla kununua kreti kadhaa za bia..Hii imekaje? Naombeni kujuzwa
Hivi kanisa la roman catoric linaruhusu ulevi?maana ni zaid ya mara nne nashuudia masista na mapadre wanakuja na gari la kanisa ofisin kwangu nnako uza vinywaji kwa jumla jumla kununua kreti kadhaa za bia..Hii imekaje? Naombeni kujuzwa
RC Pombe ni ruksa ila usilewe!