Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
- Thread starter
- #61
Okey.Kwa hiyo mwaka mzima unalima zao mona tu? Mhhhh mkuu wewe kutoboa utapasikia mbinguni.
Mkulima mzuri yule wa kisasa anakuwa busy na anaratiba ya mazai ya mwaka mzima.
Mfano November upo iddle kwa maparachichi lakini huku unaanda shamba za zao lingine.
Ukiwa iddle sana kazi zimepungua unafungua hata vidarasa uchwara vya kilimo unapata 50,000 kwa kichwa.
Lakini nachojua kikubwa sana ukishasimama kwenye kilimo unasimamisha biashara ingine(side business inakupa back up) ila wewe umerelax sana.
Nauhakika huu uzi una mengine lakini si lengo hili.
Kama unalima pambana basi uwafikie wakina Sumri.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!