LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 882
- Thread starter
- #21
Kila zama na kitabu chake!
subiri na wewe zama zako!
What do you mean mkuu!!??
Kila zama na kitabu chake!
subiri na wewe zama zako!
Huyo dogo rizmoko tuna hasira nae sana haiwezekani ndani ya mwaka m1 tu kumaliza chuo awe billionea,kila mkoa tanzania kawekeza si kitoto,leo kuna jamaa katoa ushuuda kwamba ana kampuni hadi rwanda za kuuza na kusafirisha mafuta,hekari 290 mkulanga(mtu yeyote atakayebisha nampeleka hadi kwenye hilo shamba)!!