we parapacha unafkiri ukiandka kingereza ndo utantisha..? hiyo lugha ata vichaa wengi wa dar wanaijua...umekaa zako kwenye kiti mvivu unajifanya kujua intelijensia..ebu kachezee tope uko..
Aisee kumbe kweli najadiliana na mtu asiyejua mambo...Kiingereza gani nimeandika hapo?? mjadala gani unauleta hapa? Yaani unaweza ukamuonesha mtu makini andiko langu hilo na kumweleza kuwa 'umetishiwa' kiingereza?!! dah..aisee...ni kweli tuna vijana wasiojua kitu, wamebaki kushabikia tu...hawajui kabisa..