Hii imekaaje kwa mpenzi anayekupa kiasi fulani cha pesa halafu ndani ya siku mbili anaomba 75% ya pesa aliyokupa

Unapenda kupokea lakini hupendi kutoa. Yaani roho inakuuma kurudisha hata nusu ya pesa ambayo yeye mwenyewe amekupatia? Wewe ni chuma ulete na kwa kifupi hujampenda yeye bali umependa pesa zako na siku ukimaliza matatizo yako utamkimbia
 
Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...

Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
Anahisi unataka aje umfanye nini?
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.

Unapimwa
Jichanganye ukatae ndo utajua huko mbeleni kama utapendwa tena au utapewa hata senti.
 
Alikuwa anakupima imani km unafaa kuwa mke. Hayupo mwanaume anayeweza kukupa kiasi hicho cha hela halafu ashindwe kuwa nayo 1.5M
Si umemuazima, atakaa kimya aone utakavyoreact. Siku ya kuomba, atakuambia hana, aone utakavyochukulia. Ukikasirika, kununa na kuhamaki.
Unapigwa chini mchana kweupe. Huwa tunahitaji mwanamke atakayetupenda kwenye shida na raha.
Asanteni kwa ushauri nimemtumia milioni moja na imani itamtosha kwa kipindi hiki.
 
Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...

Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
Msaada gani huo sasa!! Si bora ubaki na tv yako
 
Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...

Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
Na akitaka kuja kuchukua kwako atakuja na rafiki yake

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Wanawake Wabinafsi sana, Yani Jamaa kakupa 2.5 Mil. Ila Anasema kapata shida Hutaki Kuamini sababu kwenu Kuna Ujenzi Eboooo Inamaana kwenu ndo Binadamu ila Kwao Jamaa sio Binadamu, Hayo sio Maisha na Hiyo ni roho ya Kichawi tu, Unadhani Shida ya Kwao ingeanza kabla hajakupa unadhani Ungepata hiyo pesa au angepeleka kwao Direct

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom