Anahisi unataka aje umfanye nini?Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...
Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.
Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.
Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Asanteni kwa ushauri nimemtumia milioni moja na imani itamtosha kwa kipindi hiki.
Kwa mtu mchoyo hawezi elewa...unapenda kupokea tu ila vyako hutaki viliweMpatie hyo hela ukipenda kupokea penda na kutoa usimfanye huyo danga na yeye anakujaribu.ukitaka kula lazima uliwe
Msaada gani huo sasa!! Si bora ubaki na tv yakoNa hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...
Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
Hahahahayani na umaskini wako unaita 2.5M pesa ndogo!!!!!!?
Na akitaka kuja kuchukua kwako atakuja na rafiki yakeNa hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...
Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
Wanawake Wabinafsi sana, Yani Jamaa kakupa 2.5 Mil. Ila Anasema kapata shida Hutaki Kuamini sababu kwenu Kuna Ujenzi Eboooo Inamaana kwenu ndo Binadamu ila Kwao Jamaa sio Binadamu, Hayo sio Maisha na Hiyo ni roho ya Kichawi tu, Unadhani Shida ya Kwao ingeanza kabla hajakupa unadhani Ungepata hiyo pesa au angepeleka kwao DirectKwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.
Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.
Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Wazungu husema win win situation hyo kusaidianaKwa mtu mchoyo hawezi elewa...unapenda kupokea tu ila vyako hutaki viliwe
Tabia chafu sana hii
Wanawake wachoyo hawafai kabisa ..yan yeye anataka kupokea tuu ..huo ubinafsi wa hali ya juu sana ,hawana sifa ya kuolewaKwa mtu mchoyo hawezi elewa...unapenda kupokea tu ila vyako hutaki viliwe
Tabia chafu sana hii