cmp
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,096
- 6,739
Mpya kivipi au ulimaliza shule enzi za wakoloni mkuu?
Hii mpya sasa
A=1,B=2,C=3,D=4 na F=5
Umenipata kwa mara nyingine?
Mpya kivipi au ulimaliza shule enzi za wakoloni mkuu?
Hii mpya sasa
Acha roho ya kimaskini
Hata ufanye masomo kumi yanayohesabiwa ili kupata alama ni masomo 7 ambayo ni lazima ufanye kwa O'level.
Hii mpya sasa
NotedMpya kivipi au ulimaliza shule enzi za wakoloni mkuu?
A=1,B=2,C=3,D=4 na F=5
Umenipata kwa mara nyingine?
Usiwashangae mkuu,ni watu ambao dunia imewavaa,they are materialistic.I can also add their minds are controlled by the Devil.Ni sawa na mtu anayekunywa Whisky anavyodhani yeye ni bora kuliko anayekunywa Kimpumu,kumbe wote ni sawa tu,kwa kuwa they are all taking Ethanol(C₂H₆O)!The Devil is working inside them.Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Pumba tu bado, elezea inakosa quality kivipMkuu jifunze kwa wazungu..
Wale jamaa awapendi vitu under quality
Simu tajwa hapo juu zina vingi vya kujifunza kutoka kwa Simu za mzungu..
Na kwa kuanzia tu hizo simu tajwa hazitumiki huko zinakotengezwa.
Just imagine mtu anapika vitumbua af yeye mwenyew hatak watoto wake wale ila anawauzia wengine..
Sio kweli, hiyo ya kuzima inategemea na RAM, simu ikiwa na RAM kubwa unapakua chochoteUkishusha mzigo mzito zina jam, Zinazima.
Hazipakui High Quality Pure HD.
Zina viwango vikubwa vya SAR tofauti na zile za Ulaya na America.
Hizo Adobe na Canva za kazi gani? Makokoro ambayo matumizi yake ni chini ya 1%Kiukweli kwa mtu ambaye anajua simu ni nini. Tecno, Itel na ndugu zake huwezi tumia. Hizi ni simu ni kwa watu wanaoingia JF, Facebook, WhatsApp, Twitter n.k
Ukiinstall application km Canva, Adobe n.k
Utachokutana nacho, utajuta. Unfortunately, Google play store has stopped
Hivi huu mjadala unaendelea😄😄😄Pumba tu bado, elezea inakosa quality kivip