Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Mi sinaga tabia ya kudharau mtu ila watumuaji wa infinix tecno na itel ni ushamba na ubahili unawasumbua hilo likienda sambamba na kukosa exposure mi pia nimetokea huko so naelewa hayo mambo hizo sio simu labda kwa wazee wa vijijini huko
 
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Usiwashangae mkuu,ni watu ambao dunia imewavaa,they are materialistic.I can also add their minds are controlled by the Devil.Ni sawa na mtu anayekunywa Whisky anavyodhani yeye ni bora kuliko anayekunywa Kimpumu,kumbe wote ni sawa tu,kwa kuwa they are all taking Ethanol(C₂H₆O)!The Devil is working inside them.
 
Mkuu jifunze kwa wazungu..
Wale jamaa awapendi vitu under quality
Simu tajwa hapo juu zina vingi vya kujifunza kutoka kwa Simu za mzungu..
Na kwa kuanzia tu hizo simu tajwa hazitumiki huko zinakotengezwa.

Just imagine mtu anapika vitumbua af yeye mwenyew hatak watoto wake wale ila anawauzia wengine..
Pumba tu bado, elezea inakosa quality kivip
 
Ukishusha mzigo mzito zina jam, Zinazima.

Hazipakui High Quality Pure HD.

Zina viwango vikubwa vya SAR tofauti na zile za Ulaya na America.
Sio kweli, hiyo ya kuzima inategemea na RAM, simu ikiwa na RAM kubwa unapakua chochote
Na kupakua kitu ni settings tu za matandao husika na sio simu
 
Kiukweli kwa mtu ambaye anajua simu ni nini. Tecno, Itel na ndugu zake huwezi tumia. Hizi ni simu ni kwa watu wanaoingia JF, Facebook, WhatsApp, Twitter n.k
Ukiinstall application km Canva, Adobe n.k
Utachokutana nacho, utajuta. Unfortunately, Google play store has stopped
Hizo Adobe na Canva za kazi gani? Makokoro ambayo matumizi yake ni chini ya 1%
 
Back
Top Bottom