Hii imekaaje kitaalamu? CHADEMA wanatembeza hashtag ya katiba mpya, lakini wanamzuia Msigwa asitoe maoni kuhusu Royal Tour, wanaaminika?

Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Mbowe alienda Ikulu kwa mama baada ya kutoka jela kwanini hadi leo hajaeleza waziwazi walifuata nini ikulu? kwanini aliachiwa na kwa mujibu wa Mahakama alikuwa na kesi ya kujibu? Je kwenda kwake kwa mama kuna mahusiano gani? aeleze kama rushwa ilitamalaki au chochote kile maana alitoka breaki ya kwanza ikulu

Msigwa ni muelewa, na yeye hili jambo la mbowe lilimuuma sana lakini waliamua kubaki kimya kumuheshimu mwenyekiti wao lakini utaona kwamba Chadema sasa haiaminiki tena tutegemee upinzani ulio dhaifu zaidi mpaka mbowe aeleze nini kilimpeleka kwa mama ikulu
 
Mkuu hujui kama huyo ni...wa siasa? Usimwamini kabisa

Uko sahihi, maana kuna wengine kama unakumbuka walikuwa wakizunguka huko kwa muda wa miaka 7 kwamba fulani ni fisadi, lkn baadaye wakaja na kuanza kusema huyo mtu si fisadi.
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Chadema ni taasisi. Msigwa katoa maoni yake kama yeye na wanaompinga wanampinga kama watu binafsi siyo chadema! Shida yenu hata mekuona mtu bnafsi akitoa maoni yake anasema ni chadema! Unafikiri wote walikuwa wanajua masharti ya kijani kipindi cha yule rais fedhuli walikuwa wanamuunga mkono???
Hao chadema walisemabkwenye kikao gani juu ya kauli ya msigwa!
Tuache uhaya wani
 
Chadema ni taasisi. Msigwa katoa maoni yake kama yeye na wanaompinga wanampinga kama watu binafsi siyo chadema! Shida yenu hata mekuona mtu bnafsi akitoa maoni yake anasema ni chadema! Unafikiri wote walikuwa wanajua masharti ya kijani kipindi cha yule rais fedhuli walikuwa wanamuunga mkono???
Hao chadema walisemabkwenye kikao gani juu ya kauli ya msigwa!
Tuache uhaya wani
Wanampinga kama chadema
 
Mbowe alienda Ikulu kwa mama baada ya kutoka jela kwanini hadi leo hajaeleza waziwazi walifuata nini ikulu? kwanini aliachiwa na kwa mujibu wa Mahakama alikuwa na kesi ya kujibu? Je kwenda kwake kwa mama kuna mahusiano gani? aeleze kama rushwa ilitamalaki au chochote kile maana alitoka breaki ya kwanza ikulu

Msigwa ni muelewa, na yeye hili jambo la mbowe lilimuuma sana lakini waliamua kubaki kimya kumuheshimu mwenyekiti wao lakini utaona kwamba Chadema sasa haiaminiki tena tutegemee upinzani ulio dhaifu zaidi mpaka mbowe aeleze nini kilimpeleka kwa mama ikulu
Mbowe alitoka na Hela nyingi, nyingine alienda kugawa kanisani milioni mia moja
 
Mkuu, ungetusaidia kidogo kwa kutiwekea barua/taarifa rasmi kutoka Chadema ikimpinga Msigwa.
Acha upumbavu- unachukua mawazo ya mtu mmoja wa Chadema na kuyafanya ndio msimamo rasmi wa chama.
Umeandika mataputapu tu hapa, jinga kabisa
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Mleta uko vizuri

Katiba mpya wanayotaka Chadema waanze ku I practice ndani ya Chama chao mfano kila mwanachama yuko huru kugombea cheo chochote ikiwemo uenyekiti taifa wasibanie !! Wadibwate ohhh unataka katiba mpya ambapo kila mtu atakuwa huru kugombea cheo chochote huku kwao Chadema ukitangaza nia tu ya kugombea uenyekiti taifa dhidi ya Mbowr unakimbizwa na mapanga !!
Aisee!
Em onyesheni mifano. Lumumba kuna uhuru wa kusema?
Kwani mgombea uenyekiti ccm huwa siyo mmoja?
 
Mkuu, wewe umeona kuhusu uhuru wa maoni tu. Lkn chadema ni taasisi ya utawala wa kimla pia tyrant. Kama unabisha, jaribu kugombea uenyekiti wa chama ndiyo utaelewa. Utapewa kauli moja tu, sumu haionjwi.
Vyama vyote tuuu,,kamuulize Kabudi...
 
Back
Top Bottom