Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,937
Ni kweli 100%Ukitazama kwa makini utagundua kuwa wanaharakati wengi hapa nchini hawapiganii kile kinachoonekana bali kile kinachowapendeza mioyoni mwao....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli 100%Ukitazama kwa makini utagundua kuwa wanaharakati wengi hapa nchini hawapiganii kile kinachoonekana bali kile kinachowapendeza mioyoni mwao....
Uko sahihi kwa hili.Kama hivyo ndivyo unavyoona basi na iwe hivyo.....ila utashi wangu ni tofauti na mtazamo wako....
Tusi liko wapi hapo?Ukiona mtu anaanza matusi basi jua kaishiwa hoja
Acha kujifanya chizi wakati uko timamuChadema ni wanafiki sana na wapumbavu, mtu ukiwa tofauti na itikadi zao unaonekana adui wao
Mbona akili kama Mwendazake au Bashite? Unaweza kusema wapi na nani kamzuia?
Unaposema kanituma mimi mkewe, je unajua jinsia yangu? Stop childish behaviorTusi liko wapi hapo?
Basi yameisha mkuu, na pole kwa kuku kwazaUnaposema kanituma mimi mkewe, je unajua jinsia yangu? Stop childish behavior
Mbowe alienda Ikulu kwa mama baada ya kutoka jela kwanini hadi leo hajaeleza waziwazi walifuata nini ikulu? kwanini aliachiwa na kwa mujibu wa Mahakama alikuwa na kesi ya kujibu? Je kwenda kwake kwa mama kuna mahusiano gani? aeleze kama rushwa ilitamalaki au chochote kile maana alitoka breaki ya kwanza ikuluWatanzania tuwe makini ...
Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?
Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Hakuna matata mkuu.Basi yameisha mkuu, na pole kwa kuku kwaza
Mkuu hujui kama huyo ni...wa siasa? Usimwamini kabisaHayo siyo maneno yangu, ni maneno ya PM mstaafu ndg F. T. Sumaye.
Mkuu hujui kama huyo ni...wa siasa? Usimwamini kabisa
Chadema ni taasisi. Msigwa katoa maoni yake kama yeye na wanaompinga wanampinga kama watu binafsi siyo chadema! Shida yenu hata mekuona mtu bnafsi akitoa maoni yake anasema ni chadema! Unafikiri wote walikuwa wanajua masharti ya kijani kipindi cha yule rais fedhuli walikuwa wanamuunga mkono???Watanzania tuwe makini ...
Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?
Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Wanampinga kama chademaChadema ni taasisi. Msigwa katoa maoni yake kama yeye na wanaompinga wanampinga kama watu binafsi siyo chadema! Shida yenu hata mekuona mtu bnafsi akitoa maoni yake anasema ni chadema! Unafikiri wote walikuwa wanajua masharti ya kijani kipindi cha yule rais fedhuli walikuwa wanamuunga mkono???
Hao chadema walisemabkwenye kikao gani juu ya kauli ya msigwa!
Tuache uhaya wani
Mbowe alitoka na Hela nyingi, nyingine alienda kugawa kanisani milioni mia mojaMbowe alienda Ikulu kwa mama baada ya kutoka jela kwanini hadi leo hajaeleza waziwazi walifuata nini ikulu? kwanini aliachiwa na kwa mujibu wa Mahakama alikuwa na kesi ya kujibu? Je kwenda kwake kwa mama kuna mahusiano gani? aeleze kama rushwa ilitamalaki au chochote kile maana alitoka breaki ya kwanza ikulu
Msigwa ni muelewa, na yeye hili jambo la mbowe lilimuuma sana lakini waliamua kubaki kimya kumuheshimu mwenyekiti wao lakini utaona kwamba Chadema sasa haiaminiki tena tutegemee upinzani ulio dhaifu zaidi mpaka mbowe aeleze nini kilimpeleka kwa mama ikulu
Umeandika mataputapu tu hapa, jinga kabisaMkuu, ungetusaidia kidogo kwa kutiwekea barua/taarifa rasmi kutoka Chadema ikimpinga Msigwa.
Acha upumbavu- unachukua mawazo ya mtu mmoja wa Chadema na kuyafanya ndio msimamo rasmi wa chama.
Watanzania tuwe makini ...
Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?
Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Aisee!Mleta uko vizuri
Katiba mpya wanayotaka Chadema waanze ku I practice ndani ya Chama chao mfano kila mwanachama yuko huru kugombea cheo chochote ikiwemo uenyekiti taifa wasibanie !! Wadibwate ohhh unataka katiba mpya ambapo kila mtu atakuwa huru kugombea cheo chochote huku kwao Chadema ukitangaza nia tu ya kugombea uenyekiti taifa dhidi ya Mbowr unakimbizwa na mapanga !!
Vyama vyote tuuu,,kamuulize Kabudi...Mkuu, wewe umeona kuhusu uhuru wa maoni tu. Lkn chadema ni taasisi ya utawala wa kimla pia tyrant. Kama unabisha, jaribu kugombea uenyekiti wa chama ndiyo utaelewa. Utapewa kauli moja tu, sumu haionjwi.