Alien pilot
Senior Member
- Dec 29, 2017
- 194
- 224
Wakuu kuna baadhi ya madereva wa Serikali wanabeba familia zao kwenda kanisani ,au kwenda shopping kama kununua mitungi ya gesi na safari binafsi kwa gari za Serikali na amri ya Waziri Mkuu inakataza kutumia mali za umma vibaya.
Je na unamkuta dereva ana dharau utafikiri v8 la kwake na wengine bado wanakimbia speed 120 mpaka 140 hivi akisababisha ajali ana utetezi wa kisheria au ni viburi vyao nataka nianze kwalipua maana hakuna watu wanakera kama hawa madereva wa STL wanasababisha ajali mpaka kwa viongozi na wameua watumishi wengi sana na raia
Sent using Jamii Forums mobile app
Je na unamkuta dereva ana dharau utafikiri v8 la kwake na wengine bado wanakimbia speed 120 mpaka 140 hivi akisababisha ajali ana utetezi wa kisheria au ni viburi vyao nataka nianze kwalipua maana hakuna watu wanakera kama hawa madereva wa STL wanasababisha ajali mpaka kwa viongozi na wameua watumishi wengi sana na raia
Sent using Jamii Forums mobile app