Hii imekaaje dereva wa gari za Serikali kutumia gari ya Serikali kwa mambo binafsi

Huu uzi ni kidhibitisho kwanini Nchi haiendelei leo wala kesho. Ukiacha wivu wa mleta uzi lakini kasema ukweli. Kama watu hawaamini kwenye uwajibikaji kwanini tunadai maendeleo wakati tupo tayari kuona mali zetu chache za umma zinatumika vibaya.
 
Ndio ufanyeje hata mimi ningependa gari yangu kwa wiki liende only 5km.badala ya 140 km.
Hata mimi natamani nopate favour hiyo ya gari la serikali ili nikiuza gari yangu ionekane mpya kama mpya sababu siitumii ofisini.
Ukiwahoji wanakuambia njia ni hiyo hiyo kwa nini nisipite mara moja na kubeba.
My friend bila kubadilika kwa miongozo tutabaki tunawaonea wivu tu mmoja wapo ni kuwapa posho ya mafuta na watumie usafiri wao binafsi au hata dala dala lakini kutoka ofisini kwenda kwenye safati za kikazi ndio watumie magari ya ofisi hii itasaidia kidogo.
Namaanisha wapewe posho za mafuta na wawe wanakuja wenyewe na magari au usafiri wao.hapo sisi tunaotumia Km nyingi huku matopeni tutafarijika.
 
Haya weka mkono kifuani mwako na ufuatishe maneno haya.."Eeeh Mungu niepushe na hii roho ya uchawi inayoninyemelea"
 
Wakuu kuna baadhi ya madereva wa stl wanabeba familia zao kwenda kanisani ,au kwenda shopping kama kununua mitungi ya gesi na safari binafsi kwa gari za serikali na amri ya waziri mkuu inakataza kutumia mali za umma vibaya je na unamkuta dereva ana dharau utafikiri v8 lakwake na wengine bado wanakimbia speed 120 mpaka 140 hv akisababisha ajali ana utetezi wa kisheria au ni viburi vyao nataka nianze kwalipua maana hakuna watu wanakera kama hawa madereva wa stl wanasababisha ajali mpaka kwa viongozi na wameua watumishi wengi sana na raia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano akalitumia kwa matumizi ya ofisi na kwa mwendo unaotakiwa then akakudharau bado utakuwa umefaidika kipi!?..
Halafu dereva anaanzaje kukudharau!?, au ulitaka lift?.
 
Weeengi mnamponda mleta mada ila mnapoona story "gari ya serikali yakamatwa na magunia ya bangi" comment zenu zote ni kumponda dereva.
 
Umenikumbusha mheshimiwa mmoja zamani kule visiwani akaamua kwenye ndege magunia yake ya mkaa aondoke nayo
Huu uzi ni kidhibitisho kwanini Nchi haiendelei leo wala kesho. Ukiacha wivu wa mleta uzi lakini kasema ukweli. Kama watu hawaamini kwenye uwajibikaji kwanini tunadai maendeleo wakati tupo tayari kuona mali zetu chache za umma zinatumika vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu tutumie common sense. Kama wewe ni dereva unafanya kazi ubungo na unakaa magomeni. Ina maana unapopita manzese mtungi usibebe ila ukalaze gari magomeni, halafu urudi manzese ubebe mtungi utafute usafiri mwingine

Tofautisha kubeba bangi na hali halisi ya maisha..Huenda dereva ameomba kibali kwa bosi akaruhusiwa, gas hatununui kila siku. Mtoa uzi inaonyesha maisha yamembana, anajisikia vibaya sana kuona jirani yake ananenepa. Angetuambia V8 limebeba majani ya ng"ombe angeeleweka.
Weeengi mnamponda mleta mada ila mnapoona story "gari ya serikali yakamatwa na magunia ya bangi" comment zenu zote ni kumponda dereva.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kuna baadhi ya madereva wa stl wanabeba familia zao kwenda kanisani ,au kwenda shopping kama kununua mitungi ya gesi na safari binafsi kwa gari za serikali na amri ya waziri mkuu inakataza kutumia mali za umma vibaya je na unamkuta dereva ana dharau utafikiri v8 lakwake na wengine bado wanakimbia speed 120 mpaka 140 hv akisababisha ajali ana utetezi wa kisheria au ni viburi vyao nataka nianze kwalipua maana hakuna watu wanakera kama hawa madereva wa stl wanasababisha ajali mpaka kwa viongozi na wameua watumishi wengi sana na raia

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria inakataza ila Madereva wengi wanatumia magari ya serikali kwa shughuli zao binafsi ,gari utaikuta imepaki BAR saa tano usiku dereva anakula monde au imepakia miti inaenda shamba weekend au Jmosi kwenye harusi na manegi yanayofanana na hayo.
 
Uwe na Magari kumi au mia..yaani hats ujitetee vipi Leo umeidhihirishia jamii wivu wako uliotukuka.
Watu kama nyinyi Ni wa kuogopa kabisa tunawaita Nanga huku mtaani.
 
Sheria inakataza ila Madereva wengi wanatumia magari ya serikali kwa shughuli zao binafsi ,gari utaikuta imepaki BAR saa tano usiku dereva anakula monde au imepakia miti inaenda shamba weekend au Jmosi kwenye harusi na manegi yanayofanana na hayo.
Bar ni sehemu ya kupata msosi na vipapatio na bia nii sehemu ya chakula. Kwani nani kakataza kwenye baa chakula kisiuzwe.
Kuna muda maalum gari ya serikaki inahitaji kibali kutunika zaidi ya muda uliopangwa. Ukienda kwenye baa kumkanata utakuta anakula chips kuku na Balimi pembeni,na kibali anacho kimetolewa na katibu mkuu. Poleni sana.
 
Bar ni sehemu ya kupata msosi na vipapatio na bia nii sehemu ya chakula. Kwani nani kakataza kwenye baa chakula kisiuzwe.
Kuna muda maalum gari ya serikaki inahitaji kibali kutunika zaidi ya muda uliopangwa. Ukienda kwenye baa kumkanata utakuta anakula chips kuku na Balimi na kibali anacho kimetolewa na katibu mkuu. Poleni sana.
Sawa Mkuu Dereva Mwenye Vibali vya kuendesha Gari Mpaka saa 6 Usiku.
 
Back
Top Bottom