Hii hutokea chuo cha usafirishaji (NIT) tu

Kwa kua SUA yanatokea, unahalalisha yatokee sehemu yeyote ile?
Hapana... Ila ni regulations zilishaekwa... Ukifail mtihani for 3rd attempts una-retake somo husika unarudi semister husika kulisoma upya... That is
 
Aisee huyo daudi anaroho mbaya sana sijawah ona maisha yangu, halaf anatabia yakukata marks hasa wasiohudhuria vipindi vyake ukishajua wew nimtoro hata ufaulu sup inakuhusu
Ndo shida ya bongo
 
Nakumbuka mwl wangu wa undergraduate alikua akisema me nawapa mtihan laini mpate videgree vyenu mkahangaike na ajira mtaani. Alikua anamaanisha kwamba huko mtaani nako ni mtiti. Sasa unaweza mbania mtu degree akakulaumu maisha yote lkn kumbe mtihani zaidi ulikua mbele na degree yake kama ungempa
 
ila ARU kuna sehemu wanalegezewa kama sheria ya course work haifanyi kazi.... pale ARU hata mtu akiwa na course work ya 12 anaingia kupiga paper la mwisho ...hawana technical sup pale...
Sawa lkn pepa zao zikoje mzee ushawi ona wanafunzi wa ARU ameferi akawa analalamika mtandaoni wanapiga kimya mana wanajua mziki wa pale.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.Wakarud nyumban sabab ilikua ni likizo lakini baada ya hayo matokeo ambalo somo hilo anafundisha mwalimu Daudi,idara ya logistic ikahoji iweje wanafunzi wote wafeli tena kwa kupata f?.Uongozi ukabadilisha mwalimu wa somo na mwalimu Daudi akaondolewa.Mwalimu aliteuliwa akatangaza wanafunzi warudi chuoni atawafundisha kwa siku 10 na atawapa mtihan mwingine.So wanafunzi wakarudi chuon toka likizo wengine waliwahi kurudi na wengine walichelewa,siku ya mtihan ikafika na wanafunzi wakafka kwenye chumba cha mtihan mara wakaambiwa waliochelewa kufika hawatafanya mtihan kwa hyo watoke nje na wakafanya hivyo.lakini badae wakataka kujua hatma yao mana hawakuchelewa kwa makusudi Kwan ilikua ni likizo na walikua nyumban.Sasa cha ajabu wameambiwa wanarudia mwaka wa pili kwa kufeli somo moja tu tena watasoma semester ya pili.Kawaida vyuo vyote ukifeli somo moja unaenda mwaka 2 au 3 lakini unabeba/soma lile somo ulilofeli mwaka uliopita.Wizara ya Elimu hebu kitazameni hiki chuo cha jicho LA tatu mana kuna Madudu mengi saana pale NIT wakufunzi ni kama miungu watu. Na hawa wanafunzi 180 wanarudia mwaka kwa kufeli somo moja tu tunaomba wizara husika mkitazame iki chuo
Bila shaka utakuwemo.
 
Nasomesha mdogo wang apo na nalipa ada na hana ata 0% ya mkopo
kwaiyo mdogo wako ndo kaferi au...???bac nenda chuoni ukalalamike upate aki yako kama mlezi...unaesomesha mdogo wako......nikupe namba ya Chief (CEO)wa pale umpigie
 
Ningekuwa na uwezo ningewapa zawadi NIT kwa huo uamuzi. Hakuna elimu bila nidhamu. Kama mlichelewa mlitaka wafanyeje? Kuja kuandika humu upuuzi mliofanya ni kiashiria kingine cha kutokuwa na nidhamu. Kinachoiponza elimu na jamii Tz ni nidhamu.
 
Mimi ni muhitimu wa chuo cha NIT level 8 2018,
Hapa NIT kuna mfumo unaoitwa retake, huu mfumo sio mgeni kwakwel na hutumika pale mwanafunz anaposhindwa kusapua hivyo hatopaswa kwenda mwaka mwingine had atakapo clear somo ama masomo husika ndan ya semester husika. Sasa nashangaa kwa mwanfunzi wa mwaka wa pili kutoujua mfumo huu angali km ni mgeni,
Angekua wa mwaka wa kwanza sawa ninge sema ni mgeni na mfumo huu.
Labda nikwambie tu pale hakuna carry over pale kuna retake tu.
Na huu mfumo hutumika na vyuo vichache tu kwa hapa Tz
Kama vile SUA na DIT
So, jitahid usolve kimeo chako
 
Huyo daudi mnamchukia bure tu,Matokeo ya ue chuoni hayaamuliwi na mtu mmoja wakati wa kutolewa
 
Back
Top Bottom