Huyu hajaibia umma kaibia mwenye mali lazima ale kibano. Ila angeiba kuku wa umma hakuna ambaye angemkomalia. Mali ya wote si ya yeyoteNi majanga kuwa mwizi wa kuku africa kuliko kuwa mwizi wa mali ya umma.View attachment 964908
Nadhani siyo Africa tu,umekonkludi vibaya Mkuu
Kwa hyo fisadi chenge alivyopiga hela za dowans ni sawa tu7?Huyu hajaibia umma kaibia mwenye mali lazima ale kibano. Ila angeiba kuku wa umma hakuna ambaye angemkomalia. Mali ya wote si ya yeyote
Ndio, ningeipata ile nafasi hata mie ningepiga. Nani aliyefilisiwa kwa kuikamata fursa?. Usipopiga unaitwa bwege tu!Kwa hyo fisadi chenge alivyopiga hela za dowans ni sawa tu7?