pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then the Patels part away with finances for some Arror and Kimwarer dams!Hii ndio 'hug' ambayo imesisimua mitandao ya kijamii Kenya. Rais Uhuru Kenyatta na Zain Verjee, ambaye alikuwa 'anchor' wa CNN walipatana kwenye kongamano la 4th United Nations Enviromental Assembly hivi majuzi pale makao makuu ya UNEP Gigiri, Nairobi. Baada ya kukumbatiana ile ya kweli kabisa waliongea kwa muda huku wakicheka cheka na viongozi wengine akiwepo RAO wakibaki tu kuwa wapenzi watazamaji. Kumbe Rais Uhuru Kenyatta ni member mwenzetu wa #TeamMafisi?
Anatamani angekua yy afaidi rafiki wa jiwekama namuona Odinga hapo au ni macho yangu!?
Ndio yeye RAO, anaiskizia kwa mbaaaliii.kama namuona Odinga hapo au ni macho yangu!?
huyo fisi mwenzangu, ninamkubali sana UhuruHii ndio 'hug' ambayo imesisimua mitandao ya kijamii Kenya. Rais Uhuru Kenyatta na Zain Verjee, ambaye alikuwa 'anchor' wa CNN walipatana kwenye kongamano la 4th United Nations Enviromental Assembly hivi majuzi pale makao makuu ya UNEP Gigiri, Nairobi. Baada ya kukumbatiana ile ya kweli kabisa waliongea kwa muda huku wakicheka cheka na viongozi wengine akiwepo RAO wakibaki tu kuwa wapenzi watazamaji. Kumbe Rais Uhuru Kenyatta ni member mwenzetu wa #TeamMafisi?
That is a very intimate hug, not an ass out hug!Hii ndio 'hug' ambayo imesisimua mitandao ya kijamii Kenya. Rais Uhuru Kenyatta na Zain Verjee, ambaye alikuwa 'anchor' wa CNN walipatana kwenye kongamano la 4th United Nations Enviromental Assembly hivi majuzi pale makao makuu ya UNEP Gigiri, Nairobi. Baada ya kukumbatiana ile ya kweli kabisa waliongea kwa muda huku wakicheka cheka na viongozi wengine akiwepo RAO wakibaki tu kuwa wapenzi watazamaji. Kumbe Rais Uhuru Kenyatta ni member mwenzetu wa #TeamMafisi?
Uhuru hapo LAZIMA akatoe maelezo toshelevu kwa wife wake. Vinginevyo, siwezi kuotea kitakacho tokea.
Maana iliwahi nitokea kwenye event moja nilisimama kama dk 3 na mdada mmoja katika kusalimiana na story mbili tatu. Kilichofuata nusu nisusiwe event. Nikaona mtu kachenji.
Teh teh teh tihiii
Lkn kama ilivyo kawaida, nilimpa mashairi mawili matatu, mambo yakawa shwari.
Hehehe haya mambo bana, yaani hutokea yenyewe tu bila kupanga wala kulazismisha, unashindwa ujibu vipi.
Mimi jicho langu lilinisababishia matatizo, yaani chombo chenye makalio makubwa kilipita nikiwa na mke, sijui ilitokea vipi nikajisahau na kufuatishia macho kutazama hayo mavitu yalivyokua yanacheza cheza, kuanzia hapo ilikua mtihani kujaribu kurejesha amani duniani.