pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
- Thread starter
- #61
Anawaza mambo ya handshake, akingoja zamu yake kwa hamu.
Anawaza mambo ya handshake, akingoja zamu yake kwa hamu.
Tulia mkikuyu wangu watanzania hawakuelewi sema anayo mke na watoto siyo bibi.Taka taka..mtu ambaye ana bibi na watoto anafaa kujiheshimu na kuhwshimu familia yake..Salamu za kawaida zimetosha, hayo mengine kamfanyie bibi yako
Hii inanikumbusha picha iliyopostiwa jf ya odinga akiwa Zanzibar.kama namuona Odinga hapo au ni macho yangu!?
Check response ya verjee to the hug very telling.For real?
Ni ukweli. Only grown ups understand thisFor real?
Hahaha! Sawa tu. Ujue mungu anakuona.Ni ukweli. Only grown ups understand this
Wewe ndio hujamuelewa, alikuwa anamaanisha kwamba hayo mambo yanafaa kufanyiwa bibi. Yaani bibi bibi, huyo mzee ni 'pervert'.Tulia mkikuyu wangu watanzania hawakuelewi sema anayo mke na watoto siyo bibi.
Zain,amezaliwa kenya,anaongea kiswahili fasaha,kiingereza na kihindimember mwenzetu wa #TeamMafisi
Kabla hajapata kazi kule CNN alikuwa anasoma habari kwenye kituo maarufu cha televisheni Kenya, KTN.Zain,amezaliwa kenya,anaongea kiswahili fasaha,kiingereza na kihindi
Hii ndio 'hug' ambayo imesisimua mitandao ya kijamii Kenya. Rais Uhuru Kenyatta na Zain Verjee, ambaye alikuwa 'news anchor' wa CNN walipatana kwenye kongamano la 4th United Nations Enviromental Assembly hivi majuzi pale makao makuu ya UNEP Gigiri, Nairobi. Baada ya kukumbatiana ile ya kweli kabisa waliongea kwa muda huku wakicheka cheka na viongozi wengine akiwepo RAO wakibaki tu kuwa wapenzi watazamaji. Kumbe Rais Uhuru Kenyatta naye ni member mwenzetu wa #TeamMafisi?
Kudandiana tena? Hey, watch it!!!Kumbatio la furaha! Sijui ni yupi alitaka kumdandia mwenzie lakini wakakumbuka wako had hadharani.
Hii ndio 'hug' ambayo imesisimua mitandao ya kijamii Kenya. Rais Uhuru Kenyatta na Zain Verjee, ambaye alikuwa 'news anchor' wa CNN walipatana kwenye kongamano la 4th United Nations Enviromental Assembly hivi majuzi pale makao makuu ya UNEP Gigiri, Nairobi. Baada ya kukumbatiana ile ya kweli kabisa waliongea kwa muda huku wakicheka cheka na viongozi wengine akiwepo RAO wakibaki tu kuwa wapenzi watazamaji. Kumbe Rais Uhuru Kenyatta naye ni member mwenzetu wa #TeamMafisi?