Hii hatari sasa, ukuaji wa uchumi wa Tz tulizoea 7%, IMF wanashusha hadi 4%

Kuweka ukenya na utanzania pembeni naomba nieleweshwe,MK254 Geza Ulole, Kafrican Depay joto ya jiwe

Assuming imf wako sahihi

Pamoja na matatizo yoote ya magufuli, kuporomoka kutoka 6 mpk 4 lazima kuna kitu serious kiwe kinaendelea, sasa ni kitu gani maana yoote anayoyafanya sasa amekuwa akiyafanya toka miaka 2 nyuma, why this sudden change? Na hapa kumbuka kuna vitu vya maendeleo anafanya na tunaona

Pia, assuming kuwa zile data za nyuma za kukua kwa 7% zilikuwa sahihi, kwann gape kati ya tz na Kenya inazidi kuongezeka? Kama data zilikuwa zinapikwa basi zimekaangwa vizuri katika utawala wa JPM kuliko wa JK, but hatukuwa na sudden change kwenye ukuaji, ilikaa 7.
 
Kuweka ukenya na utanzania pembeni naomba nieleweshwe,MK254 Geza Ulole, Kafrican Depay joto ya jiwe

Assuming imf wako sahihi

Pamoja na matatizo yoote ya magufuli, kuporomoka kutoka 6 mpk 4 lazima kuna kitu serious kiwe kinaendelea, sasa ni kitu gani maana yoote anayoyafanya sasa amekuwa akiyafanya toka miaka 2 nyuma, why this sudden change? Na hapa kumbuka kuna vitu vya maendeleo anafanya na tunaona

Pia, assuming kuwa zile data za nyuma za kukua kwa 7% zilikuwa sahihi, kwann gape kati ya tz na Kenya inazidi kuongezeka? Kama data zilikuwa zinapikwa basi zimekaangwa vizuri katika utawala wa JPM kuliko wa JK, but hatukuwa na sudden change kwenye ukuaji, ilikaa 7.

Mimi siku zote nilikua nashangaa mnakua kwa 7% lakini tunazidi kuwashinda na tofauti inaongezeka, nikajua kuna kasoro kwa jinsi mnaripoti data zenu.
Halafu awamu ya sasa imekita kwenye kubana matumizi hadi sekta zilizokua zinafanya biashara na serikali zimeishia kuambulia patupu.
Hela yote mumerudisha BoT, mumeingilia wafanya biashara kwenye shughuli zao hadi wengi wanajutia.
Kingine, hadi sasa sijaona kitu gani awamu ya sasa imezindua kikakamilika.
 
I think someone is trying to sabotage magufuli 2020.
Those mining companies might be trying to pull strings behind scenes. After the gay agenda failed, they are now making other moves!
Why don't they give valid reason why they expect economy to slow to 4%?
Valid reason for economic slow down ni Gods wrath uhuni wa ccm kwa
wang'wana wa Zanzibar. Na bado brace for a complete economic melt down.
 
MK254, nadhani unakumbuka nikiimba humu jinsi siamini ukuaji wa uchumi wa Tanzania maanake kwa miaka karibu ishirini tunaambiwa ni zaidi ya 7% yet gap ya GDP kati yao na sisi imeongezeka kutoka $2 billion hapo 2004-05 hadi $38 billion sasa hivi. Hawa majamaa kila mara ukiwasikia humu wakilia eti tunapika data jua wao ndio wapishi nomba moja. Wanavyokua wakali na data zao utajua tu hapa kuna jambo.
Capture.JPG
 
Kuweka ukenya na utanzania pembeni naomba nieleweshwe,MK254 Geza Ulole, Kafrican Depay joto ya jiwe

Assuming imf wako sahihi

Pamoja na matatizo yoote ya magufuli, kuporomoka kutoka 6 mpk 4 lazima kuna kitu serious kiwe kinaendelea, sasa ni kitu gani maana yoote anayoyafanya sasa amekuwa akiyafanya toka miaka 2 nyuma, why this sudden change? Na hapa kumbuka kuna vitu vya maendeleo anafanya na tunaona

Pia, assuming kuwa zile data za nyuma za kukua kwa 7% zilikuwa sahihi, kwann gape kati ya tz na Kenya inazidi kuongezeka? Kama data zilikuwa zinapikwa basi zimekaangwa vizuri katika utawala wa JPM kuliko wa JK, but hatukuwa na sudden change kwenye ukuaji, ilikaa 7.
The main problem is devaluation of the TShs vs the USD. GDP is measured in USD. Weakening of the TShs undermines gains made in GDP. Why your shilling is weakening? Not sure, could be the cashews that u refused to sell and opted to hold.
 
Back
Top Bottom