Hii hapa Siri ya ulinzi mkali wa Rais Magufuli

Nimesoma
Nchi za wenzetu za dunia ya kwanza waziri mkuu tunakutana kwenye train asbh akienda kazini na saa zingine tunakutana nae ana baiskeli na walinzi wawili. Nchi hizo hizo ndio wanatoa misaada kwetu. Hawana huo ulinzi wa jiwe. Anaogopa nini jiwe? Watanzania tangu lini wakawa na visasi na majiwe? Unaposema ati teknolojia imechange wenzetu ukiacha marekani hawana hizo teknolojia? Marekan Wanajijua wanamaadui wengi ndani na nje kwa sababu ya sera zAke. Sisi tuna maadui
Gani ndani? Upinzani!!!?? Hayo magari ya garama ya ulinzi yafaa kuuzwa fedha zikatumika ktk huduma za afya na elimu. Ulinzi wa magari matano watosha kabisa.
 
Nimesoma
Nchi za wenzetu za dunia ya kwanza waziri mkuu tunakutana kwenye train asbh akienda kazini na saa zingine tunakutana nae ana baiskeli na walinzi wawili. Nchi hizo hizo ndio wanatoa misaada kwetu. Hawana huo ulinzi wa jiwe. Anaogopa nini jiwe? Watanzania tangu lini wakawa na visasi na majiwe? Unaposema ati teknolojia imechange wenzetu ukiacha marekani hawana hizo teknolojia? Marekan Wanajijua wanamaadui wengi ndani na nje kwa sababu ya sera zAke. Sisi tuna maadui
Gani ndani? Upinzani!!!?? Hayo magari ya garama ya ulinzi yafaa kuuzwa fedha zikatumika ktk huduma za afya na elimu. Ulinzi wa magari matano watosha kabisa.
Huna uhakika na unachokiongea,ispokua unataka kuhalalisha maoni yako
 
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.
Umesema kuna maendeleo ya technology; sasa kwani technology isitumike kupunguza idadi ya magari au watu?
 
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.
Nenda katoro ukampumzike sijaona point hapo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.
Bado sijaona hiyo siri uliyoigundua
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.


..wakati wa Mwalimu Nyerere manowari za Afrika Kusini zilifika mpaka Dsm na kutushambulia.

..Tulikuwa na ugomvi na Iddi Amini wa Uganda.

..Vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika vilikuwa na ofisi Dsm, na makambi ya kijeshi mikoani.

..Pamoja na hali ya usalama kuwa tete Mwalimu hakutumia ulinzi wa kutisha kama ilivyo sasa hivi.

..Infact Mwalimu aliandika waraka kwa Mawaziri wake akikimea suala ya yeye kulindwa kupita kiasi, Ikulu wakati wa uhuru kuwa unaccesible kuliko wakati wa Muingereza, na mambo mengine yaliyojenga picha kwamba viongozi wanajilinda mno na kujipendelea.
 
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

Tumekusikia "praise team"! Kwani unateseka sana?!
kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.
 
Mkuu dunia sasa ni technology mabunduki,misafara na malundo ya maaskari ni mambo yaliyopitwa na wakati .

Hapo ufaransa msela macron anazulula na gari tatu na pikipiki tu.

Acha habari zako mleta mada,ni matumizi mabaya kutojiamini na mbwembwe tu.
 
Nadhani teknolojia inavyoongezeka ndivyo ulinzi unavyozidi kuwa sophisticated. Hivi Trump anatumia magari mangapi ya deraya?
 
Point lesss.

Rais wa china anashuka kwenye gar akikita jam na kutembea kwa miguu. Kenyatta anajidrive mwenyewe sometine anaonekana mara kwa mara kitaa.
 
Mkuu dunia sasa ni technology mabunduki,misafara na malundo ya maaskari ni mambo yaliyopitwa na wakati .

Hapo ufaransa msela macron anazulula na gari tatu na pikipiki tu.

Acha habari zako mleta mada,ni matumizi mabaya kutojiamini na mbwembwe tu.

Mtoa mada hajawahi vuka
Mpaka hana upeo wa nchi za wenzetu. Anakushangaa rais anakuaje na gari tatu tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.
Angalau umewaelimisha, excellent
 
Huwa nafuatilia komenti za wanajukwaa mbalimbali kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli,wengi hushangaa kwanini Rais Magufuli ana ulinzi mkali kiasi hicho,na wengi hujaribu kuulinganisha na wa awamu ya kwanza ya JK Nyerere,

kwamba mwalimu Nyerere alitembelea 109 Randrover,hakua na msafala ,alikua sehemu zingine anakwenda na gari tatu tu,au moja.
Ni 34yrs sasa imepita,

kulinganisha hicho kipindi na cha sasa ni kituko kabisa!,teknolojia ime advance sana.

Enzi za mwalimu Tv aliangalia peke yake hapo Ikulu, mpaka ilipokuja zile sinema za magari ,za kina Yombayomba,na zilihimiza kilimo tu,watu walilima mashamba ya mfumaki,watanzania kwa ujumla walikua watiifu sana ,hakukua na ujambazi,wizi uliokithiri,ilikua rahisi kuwabaini wahalifu ,teknolojia ilikua duni sana.computers hazikuwepo,radio ilikua moja tu" RTD",mgambo mmoja na rungu aliweza kufanya kazi kijiji kizima ,na aliwatuliza .

Nakumbuka kuna Dada mmoja aliwahi kuvaa suruali mchana ,alizomewa mtaa mzima huku akisindikizwa na mawe, aliokolewa baada ya kuingia nyumba moja ,alikaa humo hadi usiku,akapewa khanga na kwenda kwao,hali hiyo ndio ilikua enzi za Mwalimu Nyerere,

Ni mengi ya kuelezea zama hizo za ujima za kufulia gwanji na tope .


Vijana wengi mnaolalamikia ulinzi wa Magufuli mlikua hamjazaliwa na hivyo hamkuyaishi hayo Maisha,ni simulizi tu kwenu.
Kipindi kilibadilika wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi,"trade liberization".

Kwasasa watu wame advance katika elimu,teknolojia ,habari na ufundi,mambo yapo kisasa zaidi,maadui wa taifa wenye uchu na raslimali zetu wameongezeka na wana uwezo mkubwa ki raslimali zote.

Sasa kutaka Rais Magufuli ulinzi wake uwe kama wa JK Nyerere zama hizi za kisasa ni wehu mkubwa, ikizingatiwa kazi afanyayo ni ngumu,ya ku deal na drug dealers ,mafisadi papa,mabeberu,waliokua wanasomba watakavyo maliasili zetu kawadhibiti kwa asilimia kadhaa.
, halafu atembelee V8 mbili ina sense kweli?,
Nikiangalia gharama anayotumia kwa ulinzi kama Amiri jeshi mkuu ni ndogo sana kulinganisha na majukumu yake kwa taifa,kwa dunia ya leo.

Nashauri kila chombo cha kisasa kitumike kumlinda rais dhidi ya kundi lolote halifu kwa nchi yetu.na si aibu hata kidogo.

Nafahamu Mungu ndio mwenye nafasi katika kila nafsi ya mwanadamu,lakini shetani nae ana nguvu zake hapa duniani,hivyo ni haki binadamu kujisaidia mwenyewe dhidi ya hila za shetani.
Ulinzi hata mbinguni upo japo kuna amani bila hivo shetani asingetimuliwa kule! Anaehoji kwanini mheshimiwa sana Rais wa wanyonge atafute nchi yake km anachafukwa kuona ulinzi wa Magufuli.
 
Mleta baada ya rais huyu kutoka madarakani technology itakuwa imeongezeka zaidi lakini kama rais mwingine ataingia madarakani kihalali hatahitaji ulinzi mkali usioendana na kura zake. Hatupingi ulinzi, lakini kama kweli umeingia madarakani kwa kura halali na sio wizi au kupindua nchi, ulinzi wa hivyo ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwa kisingizio chochote kile.
FB_IMG_1549781877339.jpg
 
Mleta baada ya rais huyu kutoka madarakani technology itakuwa imeongezeka zaidi lakini kama rais mwingine ataingia madarakani kihalali hatahitaji ulinzi mkali usioendana na kura zake. Hatupingi ulinzi, lakini kama kweli umeingia madarakani kwa kura halali na sio wizi au kupindua nchi, ulinzi wa hivyo ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwa kisingizio chochote kile.
ujinga unatabia ya kusema hivyo. Security parameters haziko hivyo. Mfano Yuda kipenzi cha yesu na Mhasibu wa yesu alimsaliti kwa senti za kuhesabu. Wakati alikuwa kipenzi chake . Dr. Mengi yamemkuta ya RIP akiwa na kipenzi chake chumbani, UEA. !!!
Dynamics za watu hazitabiliki, uwe tayari kwa lolote.
 
ujinga unatabia ya kusema hivyo. Security parameters haziko hivyo. Mfano Yuda kipenzi cha yesu na Mhasibu wa yesu alimsaliti kwa senti za kuhesabu. Wakati alikuwa kipenzi chake . Dr. Mengi yamemkuta ya RIP akiwa na kipenzi chake chumbani, UEA. !!!
Dynamics za watu hazitabiliki, uwe tayari kwa lolote.

Utetezi dhaifu.
 
Hao wanaoshika mitutu wana create bad image kwa Protection detail ya mkuu wetu, Tech imekuwa sana tumlinde Rais katika smart way
 
Back
Top Bottom