Umofia kwenu,
Miaka mi4 iliyopita liliibuka wimbi la kila mtu akiwa na tu milion 2 bank na yeye ni pedeshee anatajwa kwenye vipindi vya redio na kwenye nyimbo za ki-congo lakin mwaka wa 2012 mwishoni mpaka sasa siwasikii kabisa,hv wapo wapi? Au biashara zao zilizokuwa zinawaingizia big money fast money zimekata? Ilikuwa haipiti dakika kwenye redio bila kusikia papa musofe mzee wa pake,kizaizai super tall,chief kiumbe full boss,mama wa magari saadan kashindye,king dodo la bushe,ndama pedeshee,young millionea muzamil katunzi,papa felician and the like siku hizi wapo wapi hawa watu?
P.D.G (kifaransa pe de dje) Ndama Mtoto wa Ng'ombe ananyea debe
Hawa mapedeshee "biashara" yao kubwa ilikuwa ni deals za madini. Wakiwauzia foreigners madini kanyaboya, wakiwapa wanunuzi docs fake za serikali na baadae kuwadhulumu mizigo wakishirikiana na Police.
Walikuja kushtukiwa baada ya serikali yetu kuwa na bad record ya ule utapeli internationally. Mapedeshee kwishney na bendi za dansi nazo zimeathirika kwa kiwango kikubwa huku nyingi zikisimamisha shows. Mapedeshee ndo walikuwa wanawatunza musicians!!
±±±Ha ha hata manabii nao walikuwa na kipindi chao lakini kilipita
....
Umenifanya nicheke sana
Kila jambo na wakati mkuu...
Ilikuwa kila nyimbo za mbendi za musiki wa densi lazima watajwe,kitaa tena wacha watuchukulie wachumba,kweli kila zama na wakati wake.
ndama alifanya kosa gani?
Umofia kwenu,
Miaka mi4 iliyopita liliibuka wimbi la kila mtu akiwa na tu milion 2 bank na yeye ni pedeshee anatajwa kwenye vipindi vya redio na kwenye nyimbo za ki-congo lakin mwaka wa 2012 mwishoni mpaka sasa siwasikii kabisa,hv wapo wapi? Au biashara zao zilizokuwa zinawaingizia big money fast money zimekata? Ilikuwa haipiti dakika kwenye redio bila kusikia papa musofe mzee wa pake,kizaizai super tall,chief kiumbe full boss,mama wa magari saadan kashindye,king dodo la bushe,ndama pedeshee,young millionea muzamil katunzi,papa felician and the like siku hizi wapo wapi hawa watu?
Amebaki pedeshee MAJUTO! (yule mzee wa comedy)