KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Hawa jamaa huwa wanafaidi watoto wakali mpaka napata hasira.
VIDEO Queen mwenye taito kubwa Bongo, Rehema Fabian, juzikati alinaswa akifanya mambo ya chumbani hadharani na pedeshee anayefahamika kwa jina la Jacob Best, kitendo kilichozua maswali kibao kutoka kwa wadau walioshuhudia uchafu huo na kutafsiri kuwa ni ufuska, Ijumaa Wikienda linakudondoshea.
Ishu hiyo ilinaswa live na paparazi wetu Oktoba 18, mwaka huu ndani ya New Maisha Club, Masaki jijini Dar es Salaam. Rehema na pedeshee huyo walitinga kiwanjani hapo wakiwa ameshikana mikono, wakajiweka mahali na kuanza kuchapa matingas kwa kasi.
Kilevi kilipokolea vichwani mwao, walianza kudendeka hadharani, bila kujali umati wa watu uliokuwa ukiwashuhudia.
Sikutegemea kama bado Rehema ana tabia za kifuska kiasi hicho. Walichokuwa wanakifanya hakipaswi kufanywa eneo kama hili bali chumbani, ama kweli dunia imekwisha, alisema mmoja wa shuhuda wa tukio hilo.
Rehema alipotafutwa na kuwekwa mtu kati ili aeleze sababu za kufanya uchafu ule, alifunguka kuwa pedeshee huyo ndiyo mumewe mtarajiwa hivyohaoni ubaya kufanya chochote mahali popote.
Ishu hiyo ilinaswa live na paparazi wetu Oktoba 18, mwaka huu ndani ya New Maisha Club, Masaki jijini Dar es Salaam. Rehema na pedeshee huyo walitinga kiwanjani hapo wakiwa ameshikana mikono, wakajiweka mahali na kuanza kuchapa matingas kwa kasi.
Kilevi kilipokolea vichwani mwao, walianza kudendeka hadharani, bila kujali umati wa watu uliokuwa ukiwashuhudia.
Sikutegemea kama bado Rehema ana tabia za kifuska kiasi hicho. Walichokuwa wanakifanya hakipaswi kufanywa eneo kama hili bali chumbani, ama kweli dunia imekwisha, alisema mmoja wa shuhuda wa tukio hilo.
Rehema alipotafutwa na kuwekwa mtu kati ili aeleze sababu za kufanya uchafu ule, alifunguka kuwa pedeshee huyo ndiyo mumewe mtarajiwa hivyohaoni ubaya kufanya chochote mahali popote.