Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,457
- 11,221
Kupiga mswaki sio sabb swala unapigwa vipi! Kun mtu anapiga tako saba tu, isitoshe hagusi ulimi pamoja na kiutelez kinachoshikilia mabaki y chakula kilichokuwepo. Mdomo bhana unahitaj care mno! N mswaki kikawaida kuupiga Mara 2 mkuuWatu wanaoga sana na kupiga mswaki sana ila hizi ni sababu kuu kwa utafiti wangu.
1. Dawa za meno ndo chanzo cha kunuka midomo.
2. Chakula na vinywaji mtu alavyo ndo pia huchangia kunuka mwili.
Imeisha hiyo.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app