Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

Ufafanuzi, "unalogwa unakuwa ni mtu wa kunuka tu" Kuna Binti alilogwa kila akiingia kwenye daladala watu wanashika pua. Amini usiamini, huo ndio ulimwengu wa roho, yakikupata utaamini. Kumbuka watu ni wengi ila binadamu ni wachache.

Acha iman za kizamani
 
Kama wewe ni wakike sawa ila kama ni gentleman ulipaswa umwambie mlengwa kuliko hiki umefanya ni umama.

Kuna dogo alikuja kufanya field alikuwa na tatizo kama ulilosema nili mface akanieleza shida nikichogundua niuchumi ndo ilikuwa tatizo lililopelekea kurudia nguo mfululizo na viatu kupelekea kutoa harufu.

Ukiwa na akili timamu ndo utaelewa
 
Ninachojua ni kuwa suala la kumbuka mdomo ...utafiti unaonyesha kuwa Kama mtu atasafisha mdomo vizuri...ikiwa kusafisha ulimi..pamoja na kupiga mswaki walau marambili kwa siku...itasaidia suala la mwili ni uzembe na ubahili wa kijinga inabidi watu wanunue body spray...
 
ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.

miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Huko mbali sana.. angalia hata zeruzeru huwa wana kiharufu chao fulani hivi ...
 
ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.

miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Yes umeongea kile mimi nimekiona pia. Na hii imenifanya siwezi kabisa wazungu.
Karibu wote niliowahi kuwa na ukaribu nao wana kiharufu fulani kinakata mzuka kabisa. Kuna mmoja alikua mu Irish mkali kama muafrika shepu kali sura kali ila sasa ukiongea naye kwa ukaribu kuna harufu inatoka kinywani mwake daaah noma. Na karibu wote hivyohivyo
 
Kunuka ni nini? Je mtu hatakiwi kutoa harufu? Maana kuna harufu zingine kwako inaweza isiwe nzuri ila kwa mwingine ikawa nzuri tu, Au unamaanisha tujipulizie marashi? Ila pia sio kila marashi yatamvutia kila mtu, Bado kuna wengine watasema arufu ya marashi uliyojipulizia ni mbaya, Je, harufu mbaya ni ipi?
 
ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.

miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Sio kile kama cha mafua hivi, aisee nilifanya kazi kwa wachina, Kweli ile harufu hadi na leo siwezi kuizoea, inaboa sana.
 
ukijisaidia haja kubwa chooni, jisafishea kwa maji na sabuni huko chini, na wewe unawe na mikono na sabuni.... Wale ndugu zetu wa toilet paper huwa mnabaki na vichembechembe huko na jasho likishuka wakakutana kinakuwa wet then balaa....
 
Wadada wenye makucha kama majini, mnajisafishaje baada ya ule utaratibu wa kushusha mzigo toilet..... mjitafakari....
 
Jambo moja ulielewe ni kuwa,huwezi kuisikia harufu yako mwenyewe hadi pale itakapokuwa imezidi sana.
Vinginevyo nawe unaweza kuwa unanuka mdomo na miguu ukivua viatu ila hutaojua hadi uambiwe
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu

Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia

Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa

Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa

Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah

Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana

Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah


Usafi Muhimu
 
Jambo moja ulielewe ni kuwa,huwezi kuisikia harufu yako mwenyewe hadi pale itakapokuwa imezidi sana.
Vinginevyo nawe unaweza kuwa unanuka mdomo na miguu ukivua viatu ila hutaojua hadi uambiwe

 
ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.

miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Ulichukua namba!? Konekshen mkuu

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom