44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,139
Wadau nianzie upande wa wanaume, imagine umepata mchepuko mzuri na mwenye shape + chura kuzidi mkeo, yaani siku ukikutana na huo mchepuko mahaba yananoga hasa hasa ukilinganisha na wife wako unaona kabisa wife kazidiwa.
Na hii hali imepelekea wanaume wengi sana kuvuruga ndoa zao, pia wengine waliamua kuwa na nyumba ndogo, na baadhi hupiga kisirisiri hadi wanasababisha mimba na mimba hizo huzikataa kwa kuhofia usalama wa ndoa zao.
Sasa nini kifanyike ili kumshinda huyu shetani? Hata kwa upande wa wanawake nako ipo vile vile, unakuta unapokuwa kwa mchepuko mapenzi yananoga ukiwa na mmeo hata huna hamu naye. Nini kifanyike wadada?
Na hii hali imepelekea wanaume wengi sana kuvuruga ndoa zao, pia wengine waliamua kuwa na nyumba ndogo, na baadhi hupiga kisirisiri hadi wanasababisha mimba na mimba hizo huzikataa kwa kuhofia usalama wa ndoa zao.
Sasa nini kifanyike ili kumshinda huyu shetani? Hata kwa upande wa wanawake nako ipo vile vile, unakuta unapokuwa kwa mchepuko mapenzi yananoga ukiwa na mmeo hata huna hamu naye. Nini kifanyike wadada?