Hii hali sijaielewa, sijui ni ulimbukeni au ushamba

Watu wanashindw kutofautisha msaada na sadaka.!

Msaada sio kila mtu ajue kwamba flani amepokea msaada kutoka kwa mtu x.
Sadaka unaonekana unapoenda kutoa lakin pia mtu mwingine asijue unatoa kiasi gani, sio ile mtu anaenda kutoa sadaka ameshik msimbaz juu, sidhan kama ni sahihi.
Absolutely Mkuu...

Umenena vyema,kuna kitu cha kujifunza
 
Hili neno" binafsi yangu" huwa linanikera nikikuta limeandikwa au mtu akilitamka kwenye maongezi yake.
Hilo neno linatumika ndivyo sivyo.
Ok Chief

Kivipi mkuu linatumika ndivyo sivyo!
 
Kwa mawazo madogo mi nazani wengi hufanya hivyo ili watu wengine waguswe kupitia zile picha na wao wakatoe
Over
Ok
Kama ndivyo hivyo ni kwa nini watu wanakuwa na mauzo sana! Haswa vitu wanavyovitoa?
 
Na hiki je, SIPANGIWI kitakuwa kinakuja!

nafikiri kuna addiction ya kusifiwa, watu wanakuwa kama watoto wadogo, wanafanya vitu ili waonekane na wasifiwe.
Kuna watu wanasaidia SANA na wapo anonymous. Na hawa naaminI Mungu anawabarikia haswa.

Everyday is Saturday................................:cool:
Hakika Mkuu.

Kuna watu wakisifiwa wanahisi kuwa wametoa,ila kama sivyo wanaona hamna msaada wowote waliofanya...Nakusahau kuwa Mungu aonae sirini ndiye mwenye Baraka zetu
 
Tofautisha sadaka za wafadhili na kupewa fedha na mshikaji.....Kwa Nature ya wabongo wafadhili wasipotaka picha fedha zingeishia kwenye matumbo yao.
Ok Mkuu
Za wafadhili(sponser) tuachane nazo..

Mkuu nina imani wewe sio mgeni kuona baadhi wa watu/kundi la watu wakitoa msaada haswa kwenye vituo hivi vya wazee/yatima nk..

Sasa kuna kuwepo na tabia ya usambazaji wa picha wakionyesha mara wametoa mafuta ya kupika mara sabuni sijui mafuta ya kujipaka sasa hapo pana ibada gani???

Inasaidia nini??? Kama sio kujikweza?
 
Ok Mkuu
Za wafadhili(sponser) tuachane nazo..

Mkuu nina imani wewe sio mgeni kuona baadhi wa watu/kundi la watu wakitoa msaada haswa kwenye vituo hivi vya wazee/yatima nk..

Sasa kuna kuwepo na tabia ya usambazaji wa picha wakionyesha mara wametoa mafuta ya kupika mara sabuni sijui mafuta ya kujipaka sasa hapo pana ibada gani???

Inasaidia nini??? Kama sio kujikweza?

Wanaofanya hivyo wengi wana malengo ya kisiasa kuja kugombea ubunge/udiwani au nafasi yeyote katika jamii,kwahiyo wanafanya hivyo kwa ajili ya kujitengenezea mileage.
 
Back
Top Bottom