Hii hali siielewi inanitatiza

CUBICBOY

JF-Expert Member
Oct 29, 2012
306
223
Wakuu natumaini mtakuwa salama kuna hali fulani huwa siielewe , Mimi ni kijana Wa kiume Nina rafiki zangu Wa kike huwa napenda kuwatembelea Mara kwa Mara hasa kipindi cha wikiendi au mud a nikitoka kazini , nawasalimia tunaongea ila nikikosa cha kuongea naaga na kuondoka zangu huwa sipendi kuwaboa kukaa nao muda mrefu Sana bila kuongea naweza nikakaa hata mwezi Kama sina cha kuongea nakaa tu nyumban , muda mwingi huwa nalifikiria ili swala nakosa jibu nahisi Kama najitenga na jamii kwakutoonesha ushirikiano nao napenda sana kusocialize na watu ila nashindwa kwa sababu ya hii hali ,wakuu naomba mnisaidie nifanye nin kuepukana na hii hali
 
Hata usijali jiamini watu wanaumbwa tofauti na hao rafiki zako wanatakiwa wakuelewe we Ni mtu wa aina gani. By the way kuwa social sana si vizuri unatakiwa pia uwe na mipaka. Nadhani socialization ya mara moja Au mbili kwa week si vibaya siku nyingine kaa ufikirie yako na maisha zaidi. Familia ipate mda wake na kama hujawa na Familia basi Mungu mpe mda wake pamoja na huyo unaemtarajia kuwa wako wa badae.
 
1468431135786.jpg
 
Hata usijali jiamini watu wanaumbwa tofauti na hao rafiki zako wanatakiwa wakuelewe we Ni mtu wa aina gani. By the way kuwa social sana si vizuri unatakiwa pia uwe na mipaka. Nadhani socialization ya mara moja Au mbili kwa week si vibaya siku nyingine kaa ufikirie yako na maisha zaidi. Familia ipate mda wake na kama hujawa na Familia basi Mungu mpe mda wake pamoja na huyo unaemtarajia kuwa wako wa badae.
As ante Sana mkuu kwa kunitia moyo
 
Back
Top Bottom