snayper
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 302
- 217
Kuna rafiki yangu mmoja nilimuomba anipe connection ya mtoto mzur yeyote anaemfaham ila asiwe aliewahi kudate nae maana jamaa namjua hajatulia, jamaa akanipa number, bas nikamcheck mtoto nikampanga akaeleweka, nimekuja kukutana nae nikagundua ni demu wa huyo mshikaji wangu, ikabidi nimuulize jamaa kwann alinipa number ya demu wake, akasema alitaka ampime demu wake kama ana msimamo maana alimwambia akitongozwa na mtu yeyote lazima amwambie.
Nikamuuliza kama ameshaambiwa chochote akasema hapana. Kiukweli sikuwa na hisia za kumpenda huyu manzi, ila nikaamua nimkomoe jamaa ili siku nyingine asirudie huu upuuzi, nikampanga demu tukutane lodge akakubali, mtoto amekuja lodge nikachukua chumba fresh, bas katika harakati za Show kali nikamvua nguo mtoto nikaanza kumuandaa mpaka ikafika wakati mtoto kalegea anataka machine, na mm muda huo machine iko na kasi ya 4G.
Cha ajabu nilivyoanza kuvaa kondomu tu machine ikaanza kufeli na haikusimama tenaa, fanya kila kitu wapi ikazima mazima haikusimama tena, mpaka Manzi akaamua kuondoka nikabaki lodge na taharuki Maana hii hali haijawahi kunitokea mpka nilivyorudi home ndio ikasimama tena.
Kwa wazoefu na wataalam wa psychology hii hali ni kawaida? au nilipatwa na tatizo gani? Inawezekana ikawa ni uchawi?
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikamuuliza kama ameshaambiwa chochote akasema hapana. Kiukweli sikuwa na hisia za kumpenda huyu manzi, ila nikaamua nimkomoe jamaa ili siku nyingine asirudie huu upuuzi, nikampanga demu tukutane lodge akakubali, mtoto amekuja lodge nikachukua chumba fresh, bas katika harakati za Show kali nikamvua nguo mtoto nikaanza kumuandaa mpaka ikafika wakati mtoto kalegea anataka machine, na mm muda huo machine iko na kasi ya 4G.
Cha ajabu nilivyoanza kuvaa kondomu tu machine ikaanza kufeli na haikusimama tenaa, fanya kila kitu wapi ikazima mazima haikusimama tena, mpaka Manzi akaamua kuondoka nikabaki lodge na taharuki Maana hii hali haijawahi kunitokea mpka nilivyorudi home ndio ikasimama tena.
Kwa wazoefu na wataalam wa psychology hii hali ni kawaida? au nilipatwa na tatizo gani? Inawezekana ikawa ni uchawi?
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app