Hii hali nahisi weng itakua imewatokea,ila sijui ni nin!

Bokohalamu

Member
Mar 13, 2012
94
8
Ni hali ambayo inakutokea ukiwa umelala,macho yanaweza yakawa yanaona ila ukijarib kuvuta mkono,mguu ama kujigeuza unashindwa hata ukipiga kelele haitoki,nilitaka kujua ki-sayansi point of view na sio zile za uswahilin oh sijui jinamiz na nyingnezo!
 
pale unakuwa half dead. Niliwahi kusikia kwamba katika baadhi ya mikoa ikiwemo ya kusini, mtu akifa huwa anakuwa katika hali ile. Yaani anawasikia watu wakilia, wakimuaga kwaheri wakimuweka kwenye jeneza, lakini hana uwezo wa kupiga kelele wala kuvuta mguu wala kugeuka. Kwa hiyo anajisikilizia tu hadi wanamzika, na akishaanza kufukiwa ndiyo anashituka baada ya kukosa hewa. Kwahiyo anahangaika humo kaburini for a while ndiyo anakufa upya. Na kuna ushahidi wa baadhi ya makaburi yaliyowahi kufukuliwa na kukuta mtu amegeuka tofauti na alivyowekwa kwenye jeneza. So be careful usije ukazikwa huku mzima. Sijui bado scientifically ni nini but inahusishwa zaidi na imani zileee.
 
Wengine wanasema ni jinamizi! Kuna doctor aliwahi kusema hii hali inatokea ukiwa umelala chali kwamba kuna mshipa nyuma ya kichwa unakua umeugandamiza na hivyo unashindwa kupeleka mawasiliano kwenye akili na unashindwa kufanya lolote. Nadhani wataalamu watakuja kudadavua vyema zaidi
 
Big up sana mzazi kwa kujitahid kuelezea hiyo ki2 mpaka 2kaelewa

>Hata mm imewahi kunitokea hiyo then
ukiamka unakuwa kama umekufa ganzi mikono
 
Epidemiological studies showed that the time of death caused by heart problems is not evenly distributed throughout the 24-hour cycle. The most common period is in sleep especially between 2 and 6 am. This is very important for the treatment of the patient with different heart problems, breathing disorders or obesity

many medications affect the normal work of the heart in sleep and can increase the risk of heart arrhythmias

Heart problems in sleep can manifest as symptoms of loud snoring, screaming or thrashing in sleep, repetitive bad dreams, sudden awakening with gasping for air, sensations of choking, heart palpitation or irregular heart beats, profuse sweating or chills, headaches, dizziness or morning fatigue.

please consult your doctor

The good news is that the early detection of heart problems "hiding" in sleep is available and their treatment is very possible
 
Kama issue ni kulala chali,basi watoto wadogo wanapata shida na hali hii coz hiyo ndio style ya kuwalaz watoto!Itabid nikapime nikachek hiyo kitu uliyosema.
wengi wamekuwa wakiongelea kitu hicho, lakini ukweli ni kwamab watu wengi walalapo chali hubana kwa kiasi fulani mishipa iendayo kichwani na kusababisha upungufu wa oxygen katika ubongo na hivyo kumfanya mtu awe anaweweseka katia usingizi, wengine ni kwamba wakilala chali sehemu ya nyuma ya ulimi huziba kiasi fulani koo, nakusababisha upungufu wa hewa hivyo kuufanya ubongo kukosa hewa ja kutosha na mara nyi gi watu hawa pia hukoroma. Hatari ni kwama mtu aweza kuwa na magonjwa ya moyo yaliyo jifincha, mfano, wakati wa usiku anapata bradycardia (mapigo ya moyo au moyo kufanya kazi taratibu) na hufanya damu pia isifike ktk ubongo kwa wingi na kupunguza kiasi cha oxgen na mtu kujikia kama kabanwa au kaishiwa nguvu. kama mtu anapata jinamizi mara kwa mara ni vizuri akafanye kipimo cha ECG, kuangalia kama anmatatizo ya moyo. kwa watu hawa mara nyingi hufariki wakiwa usingizini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom