GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
wadau kiukweli hii hali ya uchumi ni kufa kufaana. imesaidia sana wale mademu waliokuwa wanazingua sana zamani ... aaahh.. sasa wamekuwa wepesi kama unyoya tu.yaani kama upo fresh kila siku unaweza ukawa una gonga mmoja mmoja mpaka mwaka uishe zaidi ya 300.
nimekutana na demu mmoja zamani alikuwa yuko matawi ya juu sana anazunguka tu kwnye gari range ...sasa nmekutana naye jana anaendesha rav 4 tena yeye ndo alisimamisha gari kunisalimu kwa bashasha sana na kunilaumu siku hizi sipatikani,nmepotea na maneno mengi sana.nikamwambia mi nipo nimejaa tele basi haraka haraka akanambia niandike namba yake ya simu.nikaandika.leo asubuh hii kanipigia.eti mchana napata wapi lunch tuonane.aiseee...
mtaani heshima ipo. hawa mabint ukimtizama kidogo tu anatabasamu na kukusalimia kwa bashasha "mambo!" jamaa aendelee kukaza nati inawezekana huko mbeleni sis wanaume tukagombaniwa sana na ikatusaidia maana tutakuwa hatuhongi hivyo tutajenga na kusaidia familia zetu.
ukisikia mbwa anaramba reli ndo hii..serious kabisa hali imewabana na chup zimewapwaya sana so hata haisumbui kuzishusha... ikiisha miaka 3 naaamini tutakuwa tunaheshimiana sana huko mitaani kila ambaye atakuwa amebaki dar atakuwa ana heshima. na hawa madada hawa walikuwa wao wanaona kuwa wameshawin sasa wanarudi hadi kwetu kwa akina pangu pakavu tia mchuzi.
nimekutana na demu mmoja zamani alikuwa yuko matawi ya juu sana anazunguka tu kwnye gari range ...sasa nmekutana naye jana anaendesha rav 4 tena yeye ndo alisimamisha gari kunisalimu kwa bashasha sana na kunilaumu siku hizi sipatikani,nmepotea na maneno mengi sana.nikamwambia mi nipo nimejaa tele basi haraka haraka akanambia niandike namba yake ya simu.nikaandika.leo asubuh hii kanipigia.eti mchana napata wapi lunch tuonane.aiseee...
mtaani heshima ipo. hawa mabint ukimtizama kidogo tu anatabasamu na kukusalimia kwa bashasha "mambo!" jamaa aendelee kukaza nati inawezekana huko mbeleni sis wanaume tukagombaniwa sana na ikatusaidia maana tutakuwa hatuhongi hivyo tutajenga na kusaidia familia zetu.
ukisikia mbwa anaramba reli ndo hii..serious kabisa hali imewabana na chup zimewapwaya sana so hata haisumbui kuzishusha... ikiisha miaka 3 naaamini tutakuwa tunaheshimiana sana huko mitaani kila ambaye atakuwa amebaki dar atakuwa ana heshima. na hawa madada hawa walikuwa wao wanaona kuwa wameshawin sasa wanarudi hadi kwetu kwa akina pangu pakavu tia mchuzi.