Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,541
- 1,753
Hii video inaonyesha huyu abiria akitakiwa kulipia faini kwa hii mizigo, mpaka nguo zake za kuvaa, inaonyesha begi lake limefunguliwa kabisa na nguo zake ziko njee, sasa sijui kama ni sawa au sio sawa, hebu mnao safiri na mizigo mnijuze labda mimi sijui., YouTube link:
Zaidi ni pale anapo omba risiti akipata pesa aje kuchukua wanavyo jikanyaga..
Zaidi ni pale anapo omba risiti akipata pesa aje kuchukua wanavyo jikanyaga..