edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,870
- 9,664
Biblia huijui na biblia yenyewe imeandaliwa na wakatoliki Sasa kama umeshawahi andaa biblia yako uje utueleze mafundisho yakoUtaratibu wa kupakana majivu ni utaratibu wa dhehebu na wala hauna uhusiano na Ukristo maaana kwenye Biblia hakuna sehemu yoyote ambayo mtu yeyote alipakwa majivu.
Japo imewekwa kama ishara ya kwamba binadamu wote ni mavumbi na mavumbini watarudi, swali la kujiuliza ni je, majivu ni vumbi au mavumbi yanatokana na udongo?
Bila shaka hakuna uhusiano wowote kati ya majivu na Ukristo.