Hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli

Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
kama umebadilisha vitu vyote .hapo ce unaona bado engine tu. gari inakua mpyaa nenda ilala nunua Engine .ushakula nbuzi mzima unashindwa mkia
 
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
sema ni gari gan?maana gari ndogo zipo nyingi naweza nikakusaidia kidogo
 
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
Toa plugs zote, ziangalie kama zina leakage. Huwa inafanya sana gari kuchemsha
 
Hebu ungetuambia ni kigari jamii gani usikute ni bajaj tunapoteza muda hapa.
 
Nguvu inaenda sambamba na ulaji wa kiwese. Thats same with turbochargers


Mkuu gari ilikuwa inafunguka balaa just as when I imported it... ulaji wa mafuta sija notice any difference kwa sbb hapa town bibie anaitimia sana na hajanilalamikia... but naamini itakuwa imeongeza ulaji japo sijaunotice... mafuta naweka kwa rate ile ile kama awali.
 
Mkuu gari ilikuwa inafunguka balaa just as when I imported it... ulaji wa mafuta sija notice any difference kwa sbb hapa town bibie anaitimia sana na hajanilalamikia... but naamini itakuwa imeongeza ulaji japo sijaunotice... mafuta naweka kwa rate ile ile kama awali.
Hahah ila una pollute mazingira mkuu unatakiwa u replace ule utumbo
 
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
Nenda youtube gari ya Mwaka 2000 utaweza kutengeneza mwenyewe nyumbani kwako.

Wana video nzuri sana ambazo rahisi kuelewa.
 
Mkuu, mi nishawahi experience tatizo kama hilo...mafundi walifanya basic services zote + kubadili plugs but tatizo lilikuwa palepale.

Nilichofanya niliamua kuitoa ile exhaust pipe...katikati huwa inatumbo linaitwa mufler...ambalo tulilichana na kutoa lile dongo la kuchuja sauti (lipo kama sega la nyuki)...... baadae tukalichomelea (kulishona) na kurudishia.... gari ilikuwa nyepesi huwezi amini...na sauti haikubadilika sana.....try this naamini utatibu hilo tatizo.
Naomba namba yako gari yangu inanisumbua sana. Tatizo km lako
 
Back
Top Bottom