Hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,820
11,520
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
 
Okay. Pole mkuu.

Kwanza ungefanya service zile za muhimu zoote kwanza. Gari gani? Nita assume Toyota.

1. Badirisha plugs (haizidi elfu 50 zote 4). Tena kanunue mwenyewe.

2. Badirisha oil na ATF. (Nunua mwenyewe pia) au Oil unaweza peleka Total filling station (sheli) yoyote. Itakua kama elfu 60. hadi 70. Hapo kwenye ATF bei 90 hivi. Type IV unanunua Toyota pale Kariakoo.

3. Sasa ukiona bado lina susa sua ndio mafundi waitwe.

Kama upo DSM nina fundi mmoja pale shekilango aisee yupo vema.
 
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.

Usiseme haina port ya kupimia. Gari za miaka ya 50 ndio hazina port ya kupimia. Port ipo sema tu siyo ile iliyozoeleka.

Ukiona umekwama kabisa. Nicheck 0621 221 606. Naweza kuwa na cha kukusaidia.
 
Haya maisha ni vile kukosa pesa Tu lkn kama mifuko iko njema ni Bora uuze na kuchukua kitu jipya(used from Japan)...
haya Magari yakianza kuzingua kama hivyo Haina jinsi tena zaidi ya kuuza
 
Mafundi wa bongo anaweza unda kitu lakini kikipata tatizo hajui aanzie wapi anaanza kubahatisha,afu kama umeshawagundua huwa wanakosoana sana,utasikia aliekujengea hapa n nan yaan hajui kabisa kaharibu,ukimwambia arekebishe,akija mwingine tena atamkosoa huyo alierekebisha
 
Okay. Pole mkuu.

Kwanza ungefanya service zile za muhimu zoote kwanza. Gari gani? Nita assume Toyota.

1. Badirisha plugs (haizidi elfu 50 zote 4). Tena kanunue mwenyewe.

2. Badirisha oil na ATF. (Nunua mwenyewe pia) au Oil unaweza peleka Total filling station (sheli) yoyote. Itakua kama elfu 60. hadi 70. Hapo kwenye ATF bei 90 hivi. Type IV unanunua Toyota pale Kariakoo.

3. Sasa ukiona bado lina susa sua ndio mafundi waitwe.

Kama upo DSM nina fundi mmoja pale shekilango aisee yupo vema.
Athumani?
 
Ukiweka D haifanyi ata kutaka kuondoka? Isije kuwa brake zime jam hizo unahangaika na mengine :D Jaribu kuliendesha lakini si masafa marefu usipige breki sana halafu mwagia maji kwenye maringi yako, likitoka vuke lile vuke hasa kachekishe brakes kwanza.

Gari zote kuanzia 1998 kama sikosei lazima ziwe na obd2 port, sema hujui iko wapi tu.
 
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.



Mkuu, mi nishawahi experience tatizo kama hilo...mafundi walifanya basic services zote + kubadili plugs but tatizo lilikuwa palepale.

Nilichofanya niliamua kuitoa ile exhaust pipe...katikati huwa inatumbo linaitwa mufler...ambalo tulilichana na kutoa lile dongo la kuchuja sauti (lipo kama sega la nyuki)...... baadae tukalichomelea (kulishona) na kurudishia.... gari ilikuwa nyepesi huwezi amini...na sauti haikubadilika sana.....try this naamini utatibu hilo tatizo.
 
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.

Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?

NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
Unapatikana mkoa gani ndugu ?
 
Back
Top Bottom