toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Ukitafakari sana dunia yetu utagundua dunia imekwishanajisiwa na baadhi ya watu kwa makusudi.
Historia ya dunia imepindishwa
Ukweli umegeuzwa uwongo
Uwongo umegeuzwa ukweli
Propaganda ndo zinarun dunia
Mambo mengi yanapromotiwa yana maangamizi
Mambo yamekua vise versa unaambiwa nenda hivi ndo kuna njia kumbe huko sio
Historia ya dunia imepotoshwa,mengi yamepotoshwa,ukweli na haki vimefichwa kuna mengi,
Wenye haki wamezimwa michango yao duniani imezikwa na wanaonekana wao ndo walifanya sio
Dunia ni siri tu mambo mengi sio kama tuyaonavyo vingi vimefichwa, ukiwaza sana utaumia na full stress
Dunia imefungwa mdomo na ukweli wa kihistoria umefichwa kwa faida za wachache wanufaike wakati wao sio waliostahili
Sayansi imefichwa na tunadanganywa
Siasa zimegeuzwa juu chini
Uchumi wa dunia ni siri kuna watu wapo behind ya kila kitu cha dunia hii.
Afya na magonjwa ndo usiseme huku ndo dunia imepigwa upofu kibayolojia na kimind set zetu inauma mno.
Vyakula na vinywaji hapa ndo dunia inauliwa kikatili mambo mengi ni kinyume na mfumo, biashara za nyuma ya ajenda kali dhidi ya wanadam na vita ya chakula na dawa ni vita vya dunia nzima kuna vita kubwa sana mengi yamefichwa mfumo ndani ya mfumo.
Africa ilikwisha uawa na kuzikwa na wenye nia zao dunia imenajisiwa inauma sana.
Africa yenyewe ndo yale yale ukihoji uhuru wa nchi nyingi siri ipo kwa waasisi hayo mafile ya kupewa uhuru mkionyeshwa mtakua na kifua?yaani mtu akupe uhuru aache madhahabu na diamond na kila utajiri akupe tu uhuru akuachie ulaji?hvi mnadhani hakuna makubaliano ya siri wanaoyajua waasisi pekee na wakoloni? Ukiondoa bendera kuna nini chengine?
Africa yenyewe mambo mengine yamefichwa na tunaendelea kufichwa na watawala wetu mambo mengi yanayotokea na kuhabarishwa sio kweli kama tuambiavyo.
Viongozi wazalendo wanakufa tu wanauliwa na maajent wa ndani ya nchi au nchi za magharibi kwa kupandikizwa magonjwa tu na hizi teknolojia lakini hatutoyajua watu wetu wanamalizwa tu tunaangalia hatuoni hii dunia haina haki mengine yanafanywa ili kuprove wrong misimamo yao Africa Africa
Viongozi wakiwa na misimamo wakikataa mambo wataitwa wabaya madikteta na majina yote mabaya na sifa zote mbaya lengo ni kuwaprove wrong tu hii dunia hii
Kuna wakati naamini duniani hakuna haki wala ukweli mbinguni ndo haki na ukweli wote wa dunia ulipo vitu vingi sio kama vinavyoonekana wapendwa.
Historia ya dunia imepindishwa
Ukweli umegeuzwa uwongo
Uwongo umegeuzwa ukweli
Propaganda ndo zinarun dunia
Mambo mengi yanapromotiwa yana maangamizi
Mambo yamekua vise versa unaambiwa nenda hivi ndo kuna njia kumbe huko sio
Historia ya dunia imepotoshwa,mengi yamepotoshwa,ukweli na haki vimefichwa kuna mengi,
Wenye haki wamezimwa michango yao duniani imezikwa na wanaonekana wao ndo walifanya sio
Dunia ni siri tu mambo mengi sio kama tuyaonavyo vingi vimefichwa, ukiwaza sana utaumia na full stress
Dunia imefungwa mdomo na ukweli wa kihistoria umefichwa kwa faida za wachache wanufaike wakati wao sio waliostahili
Sayansi imefichwa na tunadanganywa
Siasa zimegeuzwa juu chini
Uchumi wa dunia ni siri kuna watu wapo behind ya kila kitu cha dunia hii.
Afya na magonjwa ndo usiseme huku ndo dunia imepigwa upofu kibayolojia na kimind set zetu inauma mno.
Vyakula na vinywaji hapa ndo dunia inauliwa kikatili mambo mengi ni kinyume na mfumo, biashara za nyuma ya ajenda kali dhidi ya wanadam na vita ya chakula na dawa ni vita vya dunia nzima kuna vita kubwa sana mengi yamefichwa mfumo ndani ya mfumo.
Africa ilikwisha uawa na kuzikwa na wenye nia zao dunia imenajisiwa inauma sana.
Africa yenyewe ndo yale yale ukihoji uhuru wa nchi nyingi siri ipo kwa waasisi hayo mafile ya kupewa uhuru mkionyeshwa mtakua na kifua?yaani mtu akupe uhuru aache madhahabu na diamond na kila utajiri akupe tu uhuru akuachie ulaji?hvi mnadhani hakuna makubaliano ya siri wanaoyajua waasisi pekee na wakoloni? Ukiondoa bendera kuna nini chengine?
Africa yenyewe mambo mengine yamefichwa na tunaendelea kufichwa na watawala wetu mambo mengi yanayotokea na kuhabarishwa sio kweli kama tuambiavyo.
Viongozi wazalendo wanakufa tu wanauliwa na maajent wa ndani ya nchi au nchi za magharibi kwa kupandikizwa magonjwa tu na hizi teknolojia lakini hatutoyajua watu wetu wanamalizwa tu tunaangalia hatuoni hii dunia haina haki mengine yanafanywa ili kuprove wrong misimamo yao Africa Africa
Viongozi wakiwa na misimamo wakikataa mambo wataitwa wabaya madikteta na majina yote mabaya na sifa zote mbaya lengo ni kuwaprove wrong tu hii dunia hii
Kuna wakati naamini duniani hakuna haki wala ukweli mbinguni ndo haki na ukweli wote wa dunia ulipo vitu vingi sio kama vinavyoonekana wapendwa.