Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Huwa nashangaa sna watu kusema tulitoka mavumbini. Hivi ni kweli tulitoka mavumbini au tulitoka kwenye matumbo ya mama zetu kwa kutumia reproductive organ zao?
Au tumbo kwa lugha nyingine ni vumbi! Mi huwa nakuwa confused kabisa.
Labda huu msemo ubadilishe uwe 'tulitoka tumboni mwa mama zetu na tunaelekea mavumbini' hapo ndo imekaa sawa. Au mnasemaje waungwana.
Au tumbo kwa lugha nyingine ni vumbi! Mi huwa nakuwa confused kabisa.
Labda huu msemo ubadilishe uwe 'tulitoka tumboni mwa mama zetu na tunaelekea mavumbini' hapo ndo imekaa sawa. Au mnasemaje waungwana.