ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,117
- 1,424
Mara baada ya zoezi la ,kuondo wamachinga kukamilika ikaja kampeni ya kusafisha mitaro, ambayo ni kitu kizuri sana.
Kitu cha kushangaza sijawahi kuona yale marundo ya uchafu yanayowekwa pembeni kuondolewa na waliopewa ile kazi.
Kuyaacha pale pale ya marundo kunaletea vitu viwili
1.Mchanga na uchafu kurudi mule mule mtaroni, hivyo mitaro kuziba tena, hivyo mkandarasi analipwa tena kwa kazi aliyokwisha kuifany.
2.Marundo yakibaki juu, yanapunguza nafasi ya barabara hivyo kuletea msongamano na ajali barabarani.
Nachojiuliza hivi wanaowapa kazi hawakagui kazi inapokamilika, au ndio wote wapo ktk mgao.
View attachment 2025910
Kitu cha kushangaza sijawahi kuona yale marundo ya uchafu yanayowekwa pembeni kuondolewa na waliopewa ile kazi.
Kuyaacha pale pale ya marundo kunaletea vitu viwili
1.Mchanga na uchafu kurudi mule mule mtaroni, hivyo mitaro kuziba tena, hivyo mkandarasi analipwa tena kwa kazi aliyokwisha kuifany.
2.Marundo yakibaki juu, yanapunguza nafasi ya barabara hivyo kuletea msongamano na ajali barabarani.
Nachojiuliza hivi wanaowapa kazi hawakagui kazi inapokamilika, au ndio wote wapo ktk mgao.
View attachment 2025910