Hii Clip imfikie Rais Samia, ukweli mchungu ambao waliomzunguka hawataki ausikie

Feb 18, 2019
50
532
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815
Ana hoja ila ameharibu hapo anaposema suluhisho ni Rais mwanaume!! Wanaume wenyewe ndio hao kina Nape unategemea mabadiliko Gani?

Agenda ingekua Katiba mpya ndio maana Kenya Rais Kenyatta alikua mdhaifu ila mahakama na bunge ilikua inanyoosha mafisadi!! Hii kutegemea mtu mmoja ndio afanye Kila kitu naona tunarudi kule kule tu.
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815
Zinduka wewe, yaani bado tu una mawazo eti CCM wanahitaji kura yako ili washinde!!
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815
Nimesikiliza kwa kiasi ila huyo mwanamama nimemdharau kwa sababu zifuatazo..

Kwanza Eti ooh Tanzania haikuwa tayari kwa Rais Mwanamke na blaa blaa kibao,huu Ni ujinga na upuuzi..

Pili,Eti pili Rais anasafiri sana,hivi hii Ni hoja? Rais kusafiri na kutosafiri ndio Nini? Kusafiri makes sense na Hadi sasa imemake sense..

Alete namba Basi tulinganishe Mwendazake ambae hakusagfiri na Samia ambae amesafiria tuone impacts..

Mwisho Ni lini Tanzania haikuwahi kuibiwa kabla ya Samia? Kuibiwa kunahusianaje na jinsia ya mtu?

Hilo limwanamke linaongea Liko Marekani kwa Nini lisije kuishi Bongo ili kufanya justification ya linachoongea?
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815
Na wewe mtoa mada nirudi kwenye mchango wako,Kipi hasa Cha Maana ambacho Magufuli alifanya kikakufaidisha wewe binafsi achilia mbali blaa blaa zingine?

Maana katika Rais wa hivyo Ni Magufuli alikuwa failure kwenye Kila kitu kuanzia Uchumi Hadi huduma za jamii..

Swala la maisha ya Mtaani kuwa Magumu kwani hujui Ni global issue?

Labda nikuulize Vyuma kukaza ilikuwa inatamkwa wakati gani? Watu kufungua biashara na kukimbia ilikuwa Ni awamu gani? Vipi saizi hizo lights zinasikika? Unasikia watu wakilalamika kuporwa Pesa na TRA au kufungua biashara?

Umesikia ajira hazitoki Kama awamu ile iliyokuwa imeshindwa kuleta Mambo sawa na kusingizia mabeberu na excuses zingine za kujenga bwawa,reli na blaa blaa kibao?

Kinachoonekana hapa Ni shida za kisaikolojia na mfumo dume nothing else..

Mwisho Mimi ukiniambia nifanye rating naona Rais Samia ndio amefanya vizuri zaidi kuliko Marais wote niliowahi kuona wanaongoza..ukitaka sababu nitakueleza.
 
Nimesikiliza kwa kiasi ila huyo mwanamama nimemdharau kwa sababu zifuatazo..

Kwanza Eti ooh Tanzania haikuwa tayari kwa Rais Mwanamke na blaa blaa kibao,huu Ni ujinga na upuuzi..

Pili,Eti pili Rais anasafiri sana,hivi hii Ni hoja? Rais kusafiri na kutosafiri ndio Nini? Kusafiri makes sense na Hadi sasa imemake sense..

Alete namba Basi tulinganishe Mwendazake ambae hakusagfiri na Samia ambae amesafiria tuone impacts..

Mwisho Ni lini Tanzania haikuwahi kuibiwa kabla ya Samia? Kuibiwa kunahusianaje na jinsia ya mtu?

Hilo limwanamke linaongea Liko Marekani kwa Nini lisije kuishi Bongo ili kufanya justification ya linachoongea?

Magu alikuwa na mapungufu yake Sawa Ila kwenye uongozi na uajibikaji alikuwa best

Ishu ya ajali ya ndege ingekuwa ni wakati wa magu watu wengi wangetumbuliwa

Miaka yote ya magu hakukuwa na mambo ya shida ya maji na umeme sijui alifanyaje but kuna Jambo la kujifunza

Yes magu hakusafiri na serikali ilikata Sana Safari zake but vitu vimeonekana , Nani alitegemea daraja la ubungo na tazara ?

Viko kwenye makaratasi miaka 30 back but yy alidhubutu kufanya

Angalia road ya Kimara ilivyo tamu,


Magu bwana pamoja na ubaya wake but uzuri wake unafunika mabaya yake
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815
Ametukana na tutamkamata tu...
Huyu bibi wa 47 years was high AF
Alianza vizuri lakini kaharibu...hatuhitaju viongozi Kama Idd Amin.
Hivi huyu diaspora fake amewahi kusoma ukatili wa Idd Amin.
"If you scared,Go to church"
 
Back
Top Bottom