Itakuwa ngumu niondoke hivihivi nami namsugua
Mwanaume unaendaga kufanya scrub? Duhhh daslama kaaaazi kweli kweliMi ndo maana nikienda sehemu kama hizo huwa naacha wallet nyumban.
sio Scrub mkuu ukimaliza kunyoa unaingia chemba kidogo kwa ajili ya kusafishwa nywele, hata hivyo scrub sio Mbaya, Wa mikoani huwa wanaona ni Ushamba.Mwanaume unaendaga kufanya scrub? Duhhh daslama kaaaazi kweli kweli
Mkuu anayofanyiwa mshikaji hapo ni face scrubbing sio kuosha nywele after shavingsio Scrub mkuu ukimaliza kunyoa unaingia chemba kidogo kwa ajili ya kusafishwa nywele, hata hivyo scrub sio Mbaya, Wa mikoani huwa wanaona ni Ushamba.