Hii bikra hiiiii....Kulikoni??!!

Sajenti

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
3,651
412
Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanaume akijisikia ufahari endapo atabahatika kumega demu ambaye ni bikra. Dhana hii huenda mpaka kwenye ngazi ya familia kuwa wazazi hujisikia fahari endapo binti yao anapoolewa atakuwa bado bikra.. Na wengine hata humu jf hufikia hatua ya kuponda demu atayemkuta hana bikra kuwa ni used.. Hivi kuna lolote la maana kwenye bikra hii? Kwa mfano unaoa mke bikra akishazoea,wakati kuna mtu ameoa hiyo used na maisha ni burudani tu. Kunani na hizi bikra??
 
Hii ni alama ya kuwa Binti amejitunza au tuseme amelelewa vema. Na hii inasymbolize tabia njema ingawa si lazima itoke kwa kudoiwa
 
Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanaume akijisikia ufahari endapo atabahatika kumega demu ambaye ni bikra. Dhana hii huenda mpaka kwenye ngazi ya familia kuwa wazazi hujisikia fahari endapo binti yao anapoolewa atakuwa bado bikra.. Na wengine hata humu jf hufikia hatua ya kuponda demu atayemkuta hana bikra kuwa ni used.. Hivi kuna lolote la maana kwenye bikra hii? Kwa mfano unaoa mke bikra akishazoea,wakati kuna mtu ameoa hiyo used na maisha ni burudani tu. Kunani na hizi bikra??

Siipendi hii phrase!!!!
 
sumalee aliwaambia yeye Chungwa alimega kama cheza
AMIINAAA NJOO NIKUTUME KWA KINA AISHAAA,MWAMBIE AISHA AAJEEE
KAMA HATAKI USIMBEMBELEZE,MWAMBIE KABISA ASIIJEEE

...basi chuungwaaa,nalimenya mimi kama cheenzaa
..na lishamegwaa na waume wenzaaa

wengi wameolewa na machenzaa
ndoa zao wameshindwa kuzitunza
 
Siipendi hii phrase!!!!
ndugu yangu nilidhani mimi tu? unajua heshima lazima iwepo na leo X-Pin amesema ni siku ya heshima kwa wadada so nakubaliana na yeye. Lakini kwani hata binti anapoonekana kuwa ametolewa bikra ( ambayo wengi hutolewa kwa kumegwa) huonekana kama mtu aliyekosa maadili? Kwa nini heshima na utu wake usionekane katika mafanikio ya ujumla katika jamii. Kwa mfano binti amesoma mpaka level ya university kama binadamu aliyepevuka akiwa huko kamegwa na huo ubikra umepotea kamaliza shule kapata ajira yake nzuri na maisha yanaendelea na siku hizi watu wamevumbua mtu akitaka kuoa anajitahidi kwanza ampachike na mimba mwanamke. Tena hiyo ndio huleta simamnzi sana kwenye baadhi ya familia. NIliwahi kuhudhuria harusi moja bi harusi inasemekana alikuwa na ujauzito wa miezi mitano shangazi wa bi harusi akawa mkali kwa baba wa binti kuwa hakumchunga mtoto. Vipi hapa??
 
ndugu yangu nilidhani mimi tu? unajua heshima lazima iwepo na leo X-Pin amesema ni siku ya heshima kwa wadada so nakubaliana na yeye. Lakini kwani hata binti anapoonekana kuwa ametolewa bikra ( ambayo wengi hutolewa kwa kumegwa) huonekana kama mtu aliyekosa maadili? Kwa nini heshima na utu wake usionekane katika mafanikio ya ujumla katika jamii. Kwa mfano binti amesoma mpaka level ya university kama binadamu aliyepevuka akiwa huko kamegwa na huo ubikra umepotea kamaliza shule kapata ajira yake nzuri na maisha yanaendelea na siku hizi watu wamevumbua mtu akitaka kuoa anajitahidi kwanza ampachike na mimba mwanamke. Tena hiyo ndio huleta simamnzi sana kwenye baadhi ya familia. NIliwahi kuhudhuria harusi moja bi harusi inasemekana alikuwa na ujauzito wa miezi mitano shangazi wa bi harusi akawa mkali kwa baba wa binti kuwa hakumchunga mtoto. Vipi hapa??

kumchunga kivipi??? alitaka afungwe kama mguuni??? zingine bwana huwa ni personal decisions hata kama umelelew na maadili yapi????
 
yani bikira ni heshima kubwa kwa mwanamke na ni zawadi pekee anayomzawadia mume wake na sio tgo
 
Unyanyasaji tu
Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanaume akijisikia ufahari endapo atabahatika kumega demu ambaye ni bikra. mwanamme huyu anakuwa bikra pia?
Dhana hii huenda mpaka kwenye ngazi ya familia kuwa wazazi hujisikia fahari endapo binti yao anapoolewa atakuwa bado bikra.. Na wengine hata humu jf hufikia hatua ya kuponda demu atayemkuta hana bikra kuwa ni used.. yeye je si used?
Hivi kuna lolote la maana kwenye bikra hii? Kwa mfano unaoa mke bikra akishazoea,wakati kuna mtu ameoa hiyo used na maisha ni burudani tu. Kunani na hizi bikra??
:rolleyes: WAKUBWA nyie!
 
ishu ya mabikira ni nyeti sana. mimi kwa kweli nikipata demu la kuoa yused nitakuwa nalikanyaga bila hata huruma hata tigo kama inalipa linaliwa tu, kwani haya ndiyo huropoka huko nje sijui hakunifikisha kishumundu, mara ooo sikufika mwisho wa reli!!!!!!! kama wangekuwa bikira huko kwa vidume wao kila kitu wangejifunza huko na kuwa proud ka chochote hata kidogo wangeridhika, sio huu uchafu wa siku hizi.

mademu bwana kila siku wanasababbisha matatizo!!! kha!!!!!!!!
 
ishu ya mabikira ni nyeti sana. mimi kwa kweli nikipata demu la kuoa yused nitakuwa nalikanyaga bila hata huruma hata tigo kama inalipa linaliwa tu, kwani haya ndiyo huropoka huko nje sijui hakunifikisha kishumundu, mara ooo sikufika mwisho wa reli!!!!!!! kama wangekuwa bikira huko kwa vidume wao kila kitu wangejifunza huko na kuwa proud ka chochote hata kidogo wangeridhika, sio huu uchafu wa siku hizi.

mademu bwana kila siku wanasababbisha matatizo!!! kha!!!!!!!!

Akili kichwani, kulikuwa na ulazima wa kusema yote haya? Umeenda mbali mnoooo!

Annina
 
ishu ya mabikira ni nyeti sana. mimi kwa kweli nikipata demu la kuoa yused nitakuwa nalikanyaga bila hata huruma hata tigo kama inalipa linaliwa tu, kwani haya ndiyo huropoka huko nje sijui hakunifikisha kishumundu, mara ooo sikufika mwisho wa reli!!!!!!! kama wangekuwa bikira huko kwa vidume wao kila kitu wangejifunza huko na kuwa proud ka chochote hata kidogo wangeridhika, sio huu uchafu wa siku hizi.

mademu bwana kila siku wanasababbisha matatizo!!! kha!!!!!!!!

Nilipokuwa Gold Moshi Secondary School Mwalimu mmoja alikuwa anaitwa Samki alikuwa anapenda kuquote Msemo mmoja " It is very easy to to educate an Africa but it is very difficult to remove the bush ideas from his/her mind"

Hakika Maneno haya ya,etimia leo kwa Huyu Member anayeitwa Akili Kichwani
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom