Jamhuri ya watu wa twitter
Kwahiyo amekufuru kuna kosa la jinai kuvaa nguo aina hiyo?Bendera ya Tanganyika kwenye kampeni ya kugombea nafasi ya urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Huyu jamaa kichwani kwake kuna waya unatoa cheche
TanganyikaWakuu naomba jibu
Hii bendera ni ya nchi gani ambayo hata Tundu Lissu aliweza kuivaa?
View attachment 2376249
View attachment 2376250
Tanganyika wasn't a united before 1964 it was only a republican Tanganyika (ilikua Jamhuri na haikua katika Muungano kabla ya 1964)United Republic of Tanganyika.
1962.